WATOTO WAMWOKOTA BABA YAO AKIWA AMECHINJWA
![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBUNMnXESCNwILIk*GRn1iGtAtkVREIk0GiOPyfmXxJntqmuKxR1xRyyDUKQnS5MnikyGKWl7iRtbUG1gYWBDK/_NISHEEDAH.jpg)
Stori: Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Melasi Lutebula Ndabi ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mtaa wa Muhimbili 2, Kata ya Pemba, Wilaya ya Temeke jijini Dar, ameuawa kwa kuchinjwa na watu wanaodaiwa kufika kwake kwa ajili ya kukodi shamba la kulima matikiti. Mwili wa Melasi Lutebula Ndabi ukiwa umetupwa baada ya kuchinjwa. Habari...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera
10 years ago
Habarileo19 Sep
Watoto wamuua baba yao kwa fimbo
JESHI la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watoto watatu, kwa tuhuma za kumpiga fimbo kichwani baba yao mzazi na kumsababishia kifo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani hapa, Gilles Muroto, alisema tukio hilo ni la mwezi Septemba 15, mwaka huu katika Kijiji cha Mkunyu Kata ya Kikukuru Tarafa ya Mabira wilayani Kyerwa.
10 years ago
Mwananchi28 Mar
Mama wa watoto waliobakwa na baba yao apata vitisho
9 years ago
StarTV06 Jan
Watoto waporwa nyumba Mbarali kwa madai ya deni la baba yao
Watoto watano wa familia moja wilayani Mbarali mkoani Mbeya wanaiomba Serikali kuingilia kati mgogoro kati yao na mfanyabiashara mmoja anayemdai baba yao shilingi Milioni 1.2 kwa kupora nyumba na kuisambaratisha familia hiyo.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mpakani kata ya Ubariku ambapo baba na mama wa familia hiyo walitengana mwaka 2008 na mahakama kuamuru nyumba hiyo kubaki mikononi mwa watoto.
Wakizungumza kijijini hapo watoto hao hussein mwataga na Zaveria Mwataga wameomba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIItuHl8V5U/XqBMAVj-J0I/AAAAAAALn1Y/DoZ7gXc8tY8Y0ygI40tnP3QkiBEWK_DLQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0122.jpg)
WATOTO WAMJIA JUU BABA YAO MZAZI BAADA YA KUTAKA KUUZA ARDHI YAKE ILIYOKO ENEO LA KIJENGE JIJINI ARUSHA
Na Woinde Shizza ,ARUSHA
MGOGORO wa kugombea mali ikiwemo ardhi na majengo umeibuka katika familia ya Mzee Saimon Kamakia mara baada ya watoto wa mzee huyo kumtuhumu baba yao kutaka kuwapora ardhi ambayo waliachiwa urithi baada ya marehemu mama yao, kufariki dunia.
Kuibuka kwa mgogoro huo umeonekana umevuta hisia za wakazi wa eneo la Kijenge na ndani ya Jiji la Arusha na umesababisha kuvuruga amani ndani ya familia hiyo.
Baadhi ya watoto wa Mzee Kamakia akiwemo Nusin Kamakia walidai hatua ya...
10 years ago
Bongo509 Jan
Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mLc73JwYnoUBPVQPdoSqtN9GW*1RqDGXDc6*mlJp5c8WiwVZPGHdegf12NYxOvac8CvfkBcSJlYsRpJkP5AKvh/Mtitu.jpg)
MTITU AMJUA BABA YAKE AKIWA NA MIAKA 17
10 years ago
Bongo Movies20 Dec
Picha Nyuma ya Kamera: Yusuph Mlela Akiwa na Asha Boko Wakifanya Yao
Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa wakati wa utengenezaji wa Movie mpya itakayojumuisha mastaa kadhaa wakiwemo, Yusuph Mlela na Asha Boko.
Jina la Movie na itatoka lini? Bado havijawekwa wazi.
Kwauzoefu wako na uelewa wako unadhani movie hii itakuwa ni ya namna gani? Mlela na Asha Boko wamecheza kwenye movie hii wakiwa na mahusiano ya namna gani?