RIYAMA: NIMEMPITA BABA WATOTO WANGU MIAKA 10
Staa mkali wa filamu Bongo, Riyama Ally akiwa na mwanaye aitwaye Fatma. Na Imelda Mtema/Amani STAA mkali wa filamu za Bongo, Riyama Ally amefunguka kwa kinywa chake kuwa baba aliyezaa naye mtoto wake wa kike aitwaye Fatma, amempita takriban miaka 10. Riyama alizungumza hayo alipokuwa akihojiwa katika kipindi kimoja cha TV na kusema kuwa hakuna chochote kinachohusiana na umri katika suala la mapenzi kwa sababu ingekuwa kuna...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo509 Jan
Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
9 years ago
Bongo521 Dec
H.Baba azirejesha ‘Tuzo za Familia’ Dully Sykes na Riyama washinda (Picha)
![Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic akimkabidhi Tanzanite tuzo ya ubalozi wa Kliniki hiyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Dr.-Fadhili-Emily-akiiwakilisha-The-Fadhaget-Sanitarium-Clinic-akimkabidhi-Tanzanite-tuzo-ya-ubalozi-wa-Kliniki-hiyo--300x194.jpg)
Tuzo za Familia za msanii wa muziki, H.Baba akishirikiana na mke wake, Flora Mvungi zimefanyika kwa mara ya pili, Jumapili hii ndani ya City Style Hotel iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao waliondoka na tuzo na Best Couple of The Year 2015.
Flora Mvungi akijiandaa kumkabidhi Riyama tuzo
Katika tuzo hizo, Dully Sykes aliondoka na tuzo ya Hall Fame of The Year 2015 kwa upande wa muziki huku Riyama Ally akiondoka na Hall Fame Of The Year 2015 kwa upande wa...
10 years ago
Bongo Movies28 Feb
Riyama Atoboa Kuhusu Kupenda Watoto
Mwigizaji wa filamu mwenye kukonga nyonyo za mashabiki na wapenzi wengi wa filamu hapa Bongo, Riyama Ally leo amefunguka kuhusiana na upendo wake kwa watoto tangu alipokuwa mtoto na kusisitiza kuwapende watoto.
“Napenda sana watoto tangu na mie nilipokuwa mtoto ilikua mtaani akizaliwa mtoto hiyo ndio maskani yangu hakuna kula hakuna kuoga ni kuenda kubeba mtoto nitatafutwa nikikosekana Tu wa nauliza wapi kuna kachanga wakijua tu hawana wasi wasi tena watanifata na kunibembeleza nirudi...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane
9 years ago
Bongo Movies12 Sep
Riyama Afunguka ya Moyoni Mtoto Wake Kufiakiasha Miaka Mitatu
Alhamdulilah Asante MUNGU kwa kila kitu Asante Kwa zawadi ya Fatma hakika furaha yangu haiwezi kusemeka ni faraja ni tumaini ni kila kitu kwangu Asante kunifanya niitwe mama wewe kwangu ni muangaza uliojaa tumaini la pekee @fetydamwan na muomba mola anijalie uhai na uzima Afya njema na nguvu hekma na busara nikulee vyema mama nikusomeshe ili uje kunilea siku za usoni ukawe mtoto wa kheri unijue mimi mama na ukawajue kina mama wote ukawapende kama unavo ipenda na ukawaheshimu NAKUPENDA...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Smith: Watoto wangu hawanisikilizi
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa filamu na muziki nchini Marekani, Will Smith, amedai kwamba watoto wake kwa sasa wanajiona wamekuwa hivyo hawasikilizi ushauri wake.
Msanii huyo amesema kuwa awali watoto wake walikuwa wanausikiliza ushauri wake, lakini kwa sasa wamekuwa ndiyo maana wanapuuzia ushauri wake.
“Kila nikijaribu kuwashauri inakuwa ngumu kunielewa, lakini zamani walikuwa makini na kile ninachokisema, ila sishangai najua wamekuwa na kujiona wanaweza kujiongoza katika baadhi ya...
11 years ago
Mwananchi07 May
‘Wako wapi watoto wangu, familia yangu?’