Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Smith: Watoto wangu hawanisikilizi

smithsNEW YORK, MAREKANI

MKALI wa filamu na muziki nchini Marekani, Will Smith, amedai kwamba watoto wake kwa sasa wanajiona wamekuwa hivyo hawasikilizi ushauri wake.

Msanii huyo amesema kuwa awali watoto wake walikuwa wanausikiliza ushauri wake, lakini kwa sasa wamekuwa ndiyo maana wanapuuzia ushauri wake.

“Kila nikijaribu kuwashauri inakuwa ngumu kunielewa, lakini zamani walikuwa makini na kile ninachokisema, ila sishangai najua wamekuwa na kujiona wanaweza kujiongoza katika baadhi ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU

STORI: MAKONGORO OGING’
Regina Kihosa (62), mkazi wa Kosolameba mkoani Kigoma amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kufuatia gonjwa la ajabu lililompata huku akidai kwamba limetokana na wachawi ambao wanausumbua mji wake. Regina Kihosa akiteseka kwa gonjwa la ajabu. KWANZA AMEPOTEZA WATOTO WANANE
Mama huyo amelazwa katika hospitali hiyo jengo la Sewahaji,wodi namba 24 akiendelea na matibabu na ana mawazo mengi...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wako wapi watoto wangu, familia yangu?’

>Ama kweli ajali haichagui maskini wala tajiri.  Inasikitisha kwani ni mwanamke asiye na uwezo anayeishi kufanya biashara ya kuuza ndizi anazotembeza barabarani.  Hata hivyo, hivi sasa maisha yake yamezidi kuwa magumu kwa kuwa hajui familia yake ilipo.

 

10 years ago

GPL

RIYAMA: NIMEMPITA BABA WATOTO WANGU MIAKA 10

Staa mkali wa filamu Bongo, Riyama Ally akiwa na mwanaye aitwaye Fatma. Na Imelda Mtema/Amani STAA mkali wa filamu za Bongo, Riyama Ally amefunguka kwa kinywa chake kuwa baba aliyezaa naye mtoto wake wa kike aitwaye Fatma, amempita takriban miaka 10. Riyama alizungumza hayo alipokuwa akihojiwa katika kipindi kimoja cha TV na kusema kuwa hakuna chochote kinachohusiana na umri katika suala la mapenzi kwa sababu ingekuwa kuna...

 

10 years ago

Bongo Movies

Shilole: Watoto Wangu Ndio Wananifanya Niende “Resi”

Mwigizaji na mwanamkizi, Zuena Mohammed 'Shilole'  ambae ni mama wa watoto wawili,kama mzazi leo hii amewandikia ujumbe mzito watoto wake mara baada ya kubamdika picha yao hiyo hapo juu.

“Hawa ndo wananifanya mm naenda resi kila siku! Nawapenda sana watoto wangu! Rahma na joyce! Shule ndo zishafunguliwa mkasome! Mtimize zile ahad zenu! Hahahahaah Rahma kaniahid eti ataninulia private jet! Wakati Joyce kaniahid kunijengea nyumba yenye kila kitu ndani! Hahhahahhh wanangu wanipa raha sana!...

 

10 years ago

CloudsFM

NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI

Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.

 

10 years ago

Bongo5

Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]

 

9 years ago

Bongo5

Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego

Chagga-na-Nay

Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.

nay-na-shamsha

Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.

Chagga-na-Nay
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego

Siku...

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!

Rapper Mabeste ameshare kile alichoita “ukweli wa kuuguwa kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!” Mabeste akiwa na mke wake Lisa na mtoto wao Kendrick Hivi karibuni rapper huyo alielezea kwa kirefu jinsi mke wake Lisa Karl Fickenscher alivyougua kwa muda mrefu mara baada ya kujifungua mtoto wao Kendrick, kiasi cha kufikiri […]

 

11 years ago

BBC

Smith to retire from internationals

South Africa captain Graeme Smith will retire from international cricket after the third Test against Australia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani