Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Huduma za Tika ziwe na tija’

SERIKALI Mkoa wa Tabora imesema haitakuwa tayari kusikia wananchi wanalalamikia huduma mbovu za matibabu kwa kadi (TIKA) wakati wameshachangia fedha. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa, alitoa angalizo hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

JK: Kampeni ziwe za kistaarabu

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati teule za bunge ziwe na wigo mpana

Kamati teule za Bunge, zimekuwa zikiundwa na wabunge wenyewe hali inayoelezwa kusababisha malalamiko ya kulindana na kukomoana yanayofanywa na wajumbe ambao ni wanasiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama ziwe mfano wa kuona haki inatendeka

VICHEKESHO, burdani na kile ambacho siku hizi kinajulikana kama usanii, ni mambo yanayokubalika katika mambo mengi ya maisha ya kila siku. Hali hii ipo hata katika kazi kwani kwa kiasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bariadi wakubali TIKA

WADAU wa afya katika Halmshauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameridhia kutumika kwa mfumo mpya wa utoaji wa huduma za afya kwa kadi (TIKA). Wadau hao walifikia uamuzi huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukivaa blauzi ya wazi, kwapa zako ziwe safi

KATIKA maisha yetu ya kila siku hapa duniani kuna vitu vingi vinavyotuzunguka, ingawaje si vitu vyote ni vya muhimu kwa kila mtu, lakini kuna vitu kama vile chakula, malazi na...

 

9 years ago

Mwananchi

Hatua zilizochukuliwa TRA ziwe mfano kwa wengine

Juzi, Rais John Magufuli alimsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade baada ya kubaini ‘madudu’ katika ofisi za mamlaka hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni ya CHF/ TIKA yaanza

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, umeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA).

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA ZA MISHENI ZA ULINZI WA AMANI ZIWE WAZI-JENERALI MWAMUNYANGE

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akiwa katika ukumbi wa Baraza la Uchumi la Umoja wa Mataifa maarufu kama ECOSOC ambapo ndipo ulipofanyika mkutano wa kihistoria wa Wakuu wa Majeshi ya Ulinzi na Maafisa wa ngazi za juu kutoka nchi zinazochangia katika Operesheni za Ulinzi wa Amani chini ya Umoja wa Mataifa. Akichangia majadiliano ya mkutano huo. Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi amelishauri Baraza Kuu la Usalama na UN kuweka bayana na kwa uwazi mamlaka ya misheni ...

 

10 years ago

Michuzi

MISHENI MAALUM ZA KISIASA ZIWE WAZI NA JUMUISHI-BALOZI MANONGI

Mwakilishi wa Kudumu wa  Tanzania katika Umoja wa Mataifa,  Balozi Tuvako Manongi akibadilishana  mawazo na  Bw. B. Lynn Pascoe  ambaye ni kati ya wajumbe 14 wa Tume Huru iliyoundwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  kufanya tathmini kuhusu hali ya sasa ya Operesheni za Ulinzi wa Amani pamoja na  Misheni Maalum za Kisiasa. Tume hiyo huru iliyoteuliwa  mwishoni mwa mwaka jana imekwisha anza kazi.
 Jana ( Jumatano ) Baadhi ya wajumbe wa Tume hiyo akiwamo Bw. Pascoe walikutana katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani