Bariadi wakubali TIKA
WADAU wa afya katika Halmshauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameridhia kutumika kwa mfumo mpya wa utoaji wa huduma za afya kwa kadi (TIKA). Wadau hao walifikia uamuzi huo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Nov
Kampeni ya CHF/ TIKA yaanza
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, umeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA).
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
‘Huduma za Tika ziwe na tija’
SERIKALI Mkoa wa Tabora imesema haitakuwa tayari kusikia wananchi wanalalamikia huduma mbovu za matibabu kwa kadi (TIKA) wakati wameshachangia fedha. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa, alitoa angalizo hilo...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Wakulima Bariadi sasa kudai fidia
SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ASWDuvPRwqo/ViAkLKNabzI/AAAAAAAAHhs/riPBK-UmN04/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?
9 years ago
Habarileo19 Aug
Wakazi Bariadi wahofu kushambuliwa na fisi
WAKAZI wengi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameingiwa na hofu baada ya kuwepo kwa matukio mfululizo ya watu kushambuliwa na fisi hadi kufa katika maeneo mbalimbali mjini hapa.
11 years ago
Habarileo26 Jan
Wakulima Bariadi watoa kilio chao
WAKULIMA wa kijiji ha Nhobora wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameiomba serikali kumwendeleza kielimu mkulima mwezeshaji wao, kwani amekuwa akiwasaidia kuwaelimisha juu ya kilimo bora, ukilinganisha na bwana shamba, ambaye amekuwa akionekana kijijini hapo mara mbili kwa mwaka.
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wahisani wakubali kuchangia bajeti
SHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4iGGfOEDayuFxVje5apsePAkNMn9318ixiWh8BJuLFDPvPbrt*0Pf10IlfublQFj8Oe8w1QngzRvqnFVXmZnntrqFwuAAWS5/ssss.gif)
Simba Ukawa wakubali kuishangiliaYanga SC