Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bariadi wakubali TIKA

WADAU wa afya katika Halmshauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameridhia kutumika kwa mfumo mpya wa utoaji wa huduma za afya kwa kadi (TIKA). Wadau hao walifikia uamuzi huo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kampeni ya CHF/ TIKA yaanza

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, umeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA).

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Huduma za Tika ziwe na tija’

SERIKALI Mkoa wa Tabora imesema haitakuwa tayari kusikia wananchi wanalalamikia huduma mbovu za matibabu kwa kadi (TIKA) wakati wameshachangia fedha. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa, alitoa angalizo hilo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Bariadi sasa kudai fidia

SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi walikuwa wapi vurugu za Bariadi?

Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe alitoa tamko kuhusu hatua ambazo Serikali itazichukua dhidi ya taasisi za kidini na nyingine zilizosajiliwa na wizara yake ambazo zinaendesha shughuli zake kinyume na malengo yake.

 

9 years ago

Habarileo

Wakazi Bariadi wahofu kushambuliwa na fisi

WAKAZI wengi wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, mkoani Simiyu, wameingiwa na hofu baada ya kuwepo kwa matukio mfululizo ya watu kushambuliwa na fisi hadi kufa katika maeneo mbalimbali mjini hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima Bariadi watoa kilio chao

WAKULIMA wa kijiji ha Nhobora wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameiomba serikali kumwendeleza kielimu mkulima mwezeshaji wao, kwani amekuwa akiwasaidia kuwaelimisha juu ya kilimo bora, ukilinganisha na bwana shamba, ambaye amekuwa akionekana kijijini hapo mara mbili kwa mwaka.

 

10 years ago

Mtanzania

Wahisani wakubali kuchangia bajeti

Saada Mkuywa Naibu Waziri wa FedhaSHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...

 

10 years ago

GPL

Simba Ukawa wakubali kuishangiliaYanga SC

Simba ukawa. Na Mohammed Mdose,
Dar es Salaam
KUFUATIA kauli ya Yanga ya kuwataka mashabiki wa klabu tofauti za hapa nchini kujitokeza na kuwapa sapoti kwenye mchezo wao wa kesho Jumapili wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Platinum FC ya Zimbabwe, mashabiki wa Simba wa Tawi la Mpira na Maendeleo, maarufu kwa jina la Simba Ukawa, wamekubali kufanya hivyo ila wakatoa masharti. Yanga, kesho inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani