Wakulima Bariadi watoa kilio chao
WAKULIMA wa kijiji ha Nhobora wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameiomba serikali kumwendeleza kielimu mkulima mwezeshaji wao, kwani amekuwa akiwasaidia kuwaelimisha juu ya kilimo bora, ukilinganisha na bwana shamba, ambaye amekuwa akionekana kijijini hapo mara mbili kwa mwaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzimadaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Magema kupeleka kilio chao kwa Pinda
BAADA ya uongozi wa Wilaya na Mkoa wa Geita kukaidi kusikiliza malalamiko ya wananchi wa Kitongoji cha Magema kilichopo kijiji cha Nyamalembo, wananchi hao wameazimia kupeleka malalamiko yao kwa Waziri...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Wakulima Bariadi sasa kudai fidia
SAKATA la mbegu za pamba zilizogoma kuota limechukua sura mpya baada ya baadhi ya wakulima wa zao hilo wilayani Bariadi, Simiyu kuanza kukusanya saini zao ili waweze kuwasilisha madai ya...
5 years ago
CCM BlogUNUNUZI MAZAO MCHANGANYIKO KUPITIA AMCOS UTAWAKOMBOA WAKULIMA: DC BARIADI
Baadhi ya wadau wa mazao mchanganyiko mkoani Simiyu, wakifuatilia kikao cha wadau hao kilichofanyika jana...
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Wasanii Watoa Mapendekezo Haya Kwenye Kikao Chao cha Leo
Katika Kikao cha Wanamuziki kinachoendelea leo jijini Dar, wasanii wametoa mapendekezo makuu matatu : (1) kutokuwa na imani na CMEA (2) kuvunjwa kwa bodi ya COSOTA kutokana na kutokuwa utaratibu mzuri wa kudhibiti na kusimamia mirabaha ya kazi zao na (3) Radio stations ziendelee kupiga nyimbo zao hadi watapotoa tamko.
Hivyo wameomba rais wa shirikisho (Ado Novemba) kupeleka maombi kwa Waziri mwenye dhamana ‘Mh. Nape Nnauye’ Waziri wa habari, michezo, sanaa na...
5 years ago
MichuziMASAWE -WAKULIMA WAJIKITE KATIKA KILIMO CHA TEKNOLOJIA YA KISASA KUINUA KIPATO CHAO
WAKULIMA nchini wametakiwa watumie soko la Afrika Mashariki kwa kulima kilimo chenye tija na kutumia teknolojia mpya za kisasa huku wakiaswa kuachana na kilimo cha mazoea cha kujikimu ambacho hakiwaletei faida.
Hayo yalisemwa mjini Kibaha na mkurugenzi wa shamba darasa lililopo wilaya Kibaha mkoani Pwani Ephrahim Masawe na kuongeza kuwa soko hilo ndilo litakaloinua uchumi wao kwani linafaida kubwa.
Jambo kubwa ni kutumia mbegu bora na kutumia teknolojia mpya ikiwemo...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima waangua kilio mahakamani
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Kilio cha wakulima wa Karafuu Pemba
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Serikali isikilize kilio cha wakulima wa pamba