Wasanii Watoa Mapendekezo Haya Kwenye Kikao Chao cha Leo
Katika Kikao cha Wanamuziki kinachoendelea leo jijini Dar, wasanii wametoa mapendekezo makuu matatu : (1) kutokuwa na imani na CMEA (2) kuvunjwa kwa bodi ya COSOTA kutokana na kutokuwa utaratibu mzuri wa kudhibiti na kusimamia mirabaha ya kazi zao na (3) Radio stations ziendelee kupiga nyimbo zao hadi watapotoa tamko.
Hivyo wameomba rais wa shirikisho (Ado Novemba) kupeleka maombi kwa Waziri mwenye dhamana ‘Mh. Nape Nnauye’ Waziri wa habari, michezo, sanaa na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Madiwani Momba nusura watwangane kwenye kikao chao
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KdqEjugW3o/VdGxrYwVInI/AAAAAAAAkRA/7NxDI9JrDtY/s72-c/2.jpg)
JK AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KWENYE OFISI ZA LUMUMBA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KdqEjugW3o/VdGxrYwVInI/AAAAAAAAkRA/7NxDI9JrDtY/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5qD5rA9kFRo/VdGxvQMFKaI/AAAAAAAAkRQ/xohYQ_Um0wU/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia4440XFVik/VdGx1tyZznI/AAAAAAAAkRo/DpWVBtoBnCM/s640/7.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1KdqEjugW3o/VdGxrYwVInI/AAAAAAAAkRA/7NxDI9JrDtY/s72-c/2.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KWENYE OFISI ZA LUMUMBA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KdqEjugW3o/VdGxrYwVInI/AAAAAAAAkRA/7NxDI9JrDtY/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5qD5rA9kFRo/VdGxvQMFKaI/AAAAAAAAkRQ/xohYQ_Um0wU/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ia4440XFVik/VdGx1tyZznI/AAAAAAAAkRo/DpWVBtoBnCM/s640/7.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s72-c/P5239263.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ENG. STELLA MANYANYA AONGOZA KIKAO CHA DHARURA CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA RCC NA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA KUANZISHA MAJIMBO MAWILI MAPYA YA UCHAGUZI KATIKA WILAYA ZA SUMBAWANGA NA KALAMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-CUIkpoQKmXc/VWCC4Hhz8rI/AAAAAAAAG14/60CSfEEEXFc/s640/P5239263.jpg)
Majimbo hayo yatazaliwa katika majimbo yaliyopo hivi sasa ambapo kwa jimbo la Kwela ambalo lipo katika Wilaya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BYYDlXS1In4/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Kutokana na Ushiriki Hafifu wa Wasanii Kwenye Msiba Wa Diffender, Sumaku Asema Haya
Mwenyekiti wa Chama cha Wachekeshaji (Tanzanian Comedian Association) Habib Mkamba ‘Sumaku’ amewapongeza wasanii hao kwa kujitolea katika kumuuguza msanii mwenzao hadi kifo chake Fadhil Said almaarufu kama Diffender, amedai kuwa pamoja na kutengwa na wasanii wengine lakini walijitoa.
Nawashukru na kuwapongeza kwa wale wasanii wa Komedi ambao tumejitoa kupigania afya ya marehemu Difenda, niliwahi kusema kila anapofariki mwenzetu kuna mwingine yupo njiani tusiposhirikiana ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s72-c/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MJINI DODOMA LEO, TANO BORA YA WAGOMBEA KUPATIKANA BAADA YA KIKAO HIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-OOvcTAdSB9A/VZ_buOIdT7I/AAAAAAAHogc/J4YxdMnUHdg/s640/MMGL0395%2Bcopy.jpg)
9 years ago
Bongo Movies20 Sep
Wakati Baadhi Ya Wasanii wa Bongo Movies Wamejikita Kwenye Siasa, Gabo Ana Haya
Mcheza filamu Salim Ahmed ‘Gabo’ amesema sanaa haitakufa licha la wimbi la wasanii wake kujikita katika maswala ya siasa kwa sasa, kwasababau wapo amabo wameamua kuiendeleza kwa kwenda mbele.
Gabo amesema pamekuwa na wasiwasi kwamba fani ya filamu haitaweza tena kuwa pale ilipokuwa baada ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao kutokana na wasanii wengi kuwania kuingia Bungeni na chuki baina yao.
Maishani kila mmoja ana maamuzi yake, alisema Gabo , na ndiyo maana ana chofikieria...
11 years ago
Habarileo26 Jan
Wakulima Bariadi watoa kilio chao
WAKULIMA wa kijiji ha Nhobora wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameiomba serikali kumwendeleza kielimu mkulima mwezeshaji wao, kwani amekuwa akiwasaidia kuwaelimisha juu ya kilimo bora, ukilinganisha na bwana shamba, ambaye amekuwa akionekana kijijini hapo mara mbili kwa mwaka.