Madiwani Momba nusura watwangane kwenye kikao chao
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Momba jana nusura warushiane makonde ndani ya kikao cha baraza la madiwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies05 Jan
Wasanii Watoa Mapendekezo Haya Kwenye Kikao Chao cha Leo
Katika Kikao cha Wanamuziki kinachoendelea leo jijini Dar, wasanii wametoa mapendekezo makuu matatu : (1) kutokuwa na imani na CMEA (2) kuvunjwa kwa bodi ya COSOTA kutokana na kutokuwa utaratibu mzuri wa kudhibiti na kusimamia mirabaha ya kazi zao na (3) Radio stations ziendelee kupiga nyimbo zao hadi watapotoa tamko.
Hivyo wameomba rais wa shirikisho (Ado Novemba) kupeleka maombi kwa Waziri mwenye dhamana ‘Mh. Nape Nnauye’ Waziri wa habari, michezo, sanaa na...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Momba, Ngange nusura wazichape nje ya ulingo
MABONDIA Sadiki Momba na Adamu Ngange, nusura wazichape wakati wa utambulisho mbele ya waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam, jana. Wakali hao wanatarajiwa kupanda ulingoni Septemba 27, katika moja...
10 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Madiwani CHADEMA wasusia kikao
MADIWANI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilayani Nkasi, wamelazimika kutoka nje ya kikao cha Baraza la madiwani baada ya kupishana kauli kati yao na wenzao wa Chama cha...
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Madiwani Chadema wasusia kikao Moshi
11 years ago
Habarileo13 Jan
Kikao cha Madiwani Uvinza chavunjika
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza jana lilivunjika muda mfupi baada ya kuanza, kutokana na wajumbe kususia. Kikao kilivunjwa, kutokana na kile kilichodaiwa kutowasilishwa taarifa muhimu za kujadiliwa kwenye baraza hilo.
10 years ago
GPLMADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO
10 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WASUSIA KIKAO CHA BAJETI
Msathiki Meya akizungumzia msimamo wake juu ya hatua ya wajumbe wa baraza hilo kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wakimtuhumu mkurugenzi wa manispaa hiyo ,Shabani Ntarambe kujihusisha katika uporaji wa Viwanja.
10 years ago
Habarileo25 Apr
Kikao cha madiwani chavunjwa kwa maazimio kutotekelezwa
KIKAO cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara juzi kilivunjika baada ya madiwani hao kudai kuwa maazimio ya vikao vilivyopita kushindwa kutekelezwa bila ya sababu za msingi.
11 years ago
Michuzikikao cha baraza la madiwani chafanyika mkoani iringa leo