Kikao cha madiwani chavunjwa kwa maazimio kutotekelezwa
KIKAO cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara juzi kilivunjika baada ya madiwani hao kudai kuwa maazimio ya vikao vilivyopita kushindwa kutekelezwa bila ya sababu za msingi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s72-c/1.jpg)
MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6lKve8aQg1A/VLYkQfJ5O1I/AAAAAAAAVe4/D3C9qEWcDjA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q5mdHtPNsOQ/VLYk12iHslI/AAAAAAAAVfA/BroyIcsfs74/s640/3.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTtVrSwsWgEuoDx8WXdW29yp5eShuikYPZWQLcvjly3xiuc5p8thirjFhZ1BBqs-s*7SFydgGOfTZp15P5M3Wjnp/IMG_5275.jpg?width=650)
NAPE AYATAJA MAAZIMIO KAMILI YA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM KILICHOFANYIKA JANA MJINI UNGUJA
Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Wanahabari mapema leo akifafanua kuhusiana na ripoti na maadhimio ya kikao cha kamati kuu cha CCM kilichofanyika jana katika ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Unguja kisiwani Zanzibar.PICHA NA MICHUZI JR-ZANZIBAR. Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â Â ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--zZxrRQCM9g/VJQ56XdB-zI/AAAAAAAG4dY/9Oa9Bgi8C24/s72-c/unnamedQ1.jpg)
CHADEMA yakutana na waandishi wa habari kuzungumzia maazimio ya kikao maalum cha kamati kuu ya chama hicho
![](http://1.bp.blogspot.com/--zZxrRQCM9g/VJQ56XdB-zI/AAAAAAAG4dY/9Oa9Bgi8C24/s1600/unnamedQ1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--joIAzDDYMo/VJQ56WhucCI/AAAAAAAG4dc/YFiy4rDvxfY/s1600/unnamedQ2.jpg)
10 years ago
MichuziKIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
CCM BlogBARAZA LA MADIWANI LA MANISPAA YA UBUNGO LAFANYA KIKAO CHAKE CHA KAWAIDA CHA ROBO YA PILI YA MWAKA 2019/20
11 years ago
Habarileo13 Jan
Kikao cha Madiwani Uvinza chavunjika
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza jana lilivunjika muda mfupi baada ya kuanza, kutokana na wajumbe kususia. Kikao kilivunjwa, kutokana na kile kilichodaiwa kutowasilishwa taarifa muhimu za kujadiliwa kwenye baraza hilo.
10 years ago
MichuziMADIWANI MANISPAA YA MOSHI WASUSIA KIKAO CHA BAJETI
Msathiki Meya akizungumzia msimamo wake juu ya hatua ya wajumbe wa baraza hilo kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wakimtuhumu mkurugenzi wa manispaa hiyo ,Shabani Ntarambe kujihusisha katika uporaji wa Viwanja.
11 years ago
Michuzikikao cha baraza la madiwani chafanyika mkoani iringa leo
9 years ago
BBCSwahili26 Sep
Kikosi cha kumlinda rais chavunjwa Burkina Faso
Serikali ya Burkina Faso imevunja kikosa cha kumlinda rais ambacho kiliwashika mateka mawaziri wakati wa majaribio ya mapinduzi yaliyofeli.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania