Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIKAO CHA MWISHO CHA BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA

Mstahiki  meya  wa Manispaa ya  Iringa Amani Mwamwindi  akifungua kikao  hicho cha mwisho katika ukumbi wa Manispaa leo.Madiwani  wa Halmashauri ya  Manispaa ya  Iringa  wakiwa katika  kikao  cha mwisho leoMadiwani  wakiwa katika kikao. Picha na Francis Godwin.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

BARAZA LA MADIWANI LA MANISPAA YA UBUNGO LAFANYA KIKAO CHAKE CHA KAWAIDA CHA ROBO YA PILI YA MWAKA 2019/20

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Beatrice Dominic akifungua Kikao cha Baraza la kawaida la robo ya pili ya mwaka wa fedha ya mwaka 2019/2020 la Madiwani wa Manispaa hiyo ambacho kimefanyika leo katika ukumbi uliopo Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Luguruni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Kikao hicho, Meya wa Manispaa ya Ubungo Boniface Jacob.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Beatrice Dominic na Meya wa Manispaa hiyo wakiwa...

 

11 years ago

Michuzi

kikao cha baraza la madiwani chafanyika mkoani iringa leo

 Mkurugenzi wa halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Pudenciana Kisaka akizungumza wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika ukumbi Siasa ni Kilimo, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Steven Mhapa. Baadhi ya madiwani wakifuatilia majadiliano katika kikao hicho yakiendelea katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo. Baadhi ya wakuu wa idara wa halmshauri ya wilaya ya Iringa wakifuatilia majadiliano...

 

10 years ago

Michuzi

MADIWANI MANISPAA YA MOSHI WASUSIA KIKAO CHA BAJETI


Msathiki Meya akizungumzia msimamo wake juu ya hatua ya wajumbe wa baraza hilo kutoka nje ya ukumbi wa mikutano wakimtuhumu mkurugenzi wa manispaa hiyo ,Shabani Ntarambe kujihusisha katika uporaji wa Viwanja.Diwani wa kata ya Kaloleni ,Michael Mwita (CCM) akizungumza juu ya kitendo cha madiwani wenzake kutoka nje huku wakituhumu Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kuhusika katika uporaji wa viwanja vya halmashauri hiyo.

Diwani wa kata ya Kiusa ,Stephen Ngasa akiongozana na mbunge wa jimbo la Moshi...

 

10 years ago

Vijimambo

BARAZA LA MADIWANI MANISPAA YA IRINGA LAVUNJWA RASMI

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa,  Amani Mwamwindi akufafanua jambo wakati wa kikao cha mwisho cha baraza hilo jana. Kulia kwake walioketi ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mh. Amina Masenza, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Andelina Mabula akifuatia na Naibu Meya Gervas Ndaki.
Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia Idara ya Fedha na Biashara imekusanya jumla ya 5,357,849,597/- kati ya hizo 1,010,046,997/- in mapato ya ndani katika kipindi cha kuanzia mwezi Aprili hadi Julai 2014/2015.
Akisoma taarifa...

 

9 years ago

Michuzi

KIKAO CHA PILI CHA BARAZA LA BIASHARA KATI YA OMAN NA TANZANIA

 KIKAO CHA JBC KIKIENDELEA KATI YA WAJUMBE WA TANZANIANA OMAN KATIKA MAKAO MAKUU YA OMAN CHAMBER OF COMMERCE KUTOKA KULIA WAPILI NI MWENYEKITI MWENZA-OMAN SK SAUD RAWAHI ,WATATU MWENYEKITI MWENZA TANZANIA ND. MAEMBE AKIFUATIA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI OMAN MHESHIMIWA ALI AHMED SALEH

 KIKAO KIKIENDELEA

 PICHA YA PAMOJA BAADA YA KIKAO

 UJUMBE WA TANZANIA PIA ULIPATA FURSA KUSHIRIKI KATIKA MAONESHO MAALUM YA FURSA ZA BIASHARA NCHINI OMAN.

UJUMBE WA TANZANIA UKITEMBELEA ENEO LA VIWANDA NA BANDARI...

 

9 years ago

Dewji Blog

Majaliwa aitisha kikao cha kazi cha Baraza la Mawaziri

IMGS5561

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mawaziri na Naibu Mawaziri  katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha  Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS5562

IMGS5555

IMGS5554

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama wakati alipomkaribisha kuzungumza katika kikao cha kwanza cha baraza la kazi la Mwaziri, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15,2015. (Picha na Ofisi ya...

 

10 years ago

Michuzi

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA WA FEDHA CHA FANYIKA MJINI MOROGORO


1Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajabu Rutengwe (katikati) akiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kulia) wakiwasili kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha lililofanyika leo mjini Morogoro. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi wa wizara hiyo ambaye pia ni Katibu Mkuu Dkt. Servacius Likwelile.2Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya ufunguzi wa kikao cha baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha lililofanyika leo mjini Morogoro.3Mkuu wa Mkoa...

 

11 years ago

Michuzi

KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA NNE LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU

 Mgeni rasmi Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) akiwaonesha wajumbe wa Baraza la Nne la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Mfumo wa Kushughulikia Malalamiko ulioandaliwa na Ofisi hiyo mara baada ya kuuzindua leo katika kikao cha kwanza cha Baraza hilo mkoani Tanga. Katikati ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Zanzibar Mohamed Hafidh Rajab na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa. Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) akiwaonesha wajumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani