Magema kupeleka kilio chao kwa Pinda
BAADA ya uongozi wa Wilaya na Mkoa wa Geita kukaidi kusikiliza malalamiko ya wananchi wa Kitongoji cha Magema kilichopo kijiji cha Nyamalembo, wananchi hao wameazimia kupeleka malalamiko yao kwa Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s72-c/6.jpg)
madaktari walalamikia kutokamilika kwa miradi ya ujenzi vituo vya afya kwa wakati,wakulima wa tumbaku waangusha kilio chao mbele ya Kinana wilayani sikonge
![](http://2.bp.blogspot.com/-iG8ZUJFuszM/U3UURrt4_2I/AAAAAAAChGc/jvhfZkJNrvg/s1600/6.jpg)
11 years ago
Habarileo26 Jan
Wakulima Bariadi watoa kilio chao
WAKULIMA wa kijiji ha Nhobora wilayani Bariadi mkoani Simiyu wameiomba serikali kumwendeleza kielimu mkulima mwezeshaji wao, kwani amekuwa akiwasaidia kuwaelimisha juu ya kilimo bora, ukilinganisha na bwana shamba, ambaye amekuwa akionekana kijijini hapo mara mbili kwa mwaka.
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Ikulu kutamu kwa Nkurunziza, Kagame, Kabila bila kujua mwisho wa kivuli chao
9 years ago
VijimamboWATUMISHI WANAWAKE WA KRISTO WA KANISA LA TAG NCHINI WAADHIMISHA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA KWA CHAMA CHAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaGKbfRJ4CFwKQBC8nITM6h-XQ8ETwJdKpKHIVlmi00wxenFQMHNRvFCBwtjhAvR7ClCtbJtG60uJFNfmw-eG-y6/maneki.jpg)
MANAIKI: NATAKA KUPELEKA POSA KWA WOLPER
10 years ago
Habarileo09 Apr
Auawa kwa kupeleka waganga kijijini Kilimanjaro
MZEE mwenye umri wa miaka 68, Celestine Mushi, mkazi wa kata ya Motamburu wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, ameuawa na wananchi wanaotajwa kukasirishwa na kitendo chake cha kupeleka waganga wa jadi kijijini kwa lengo la kuifanyia zindiko nyumba yake.
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ0MvMlY72WoREwIc563VzavC5UggkrxZeKHhOQYluYaN4taOS6znQVBAuEAj33wtvo*UbjDVQQNA8jscpII3dK/FRONTJUMATANO.jpg?width=650)
WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO!
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wahukumiwa kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule
WAZAZI 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.