Auawa kwa kupeleka waganga kijijini Kilimanjaro
MZEE mwenye umri wa miaka 68, Celestine Mushi, mkazi wa kata ya Motamburu wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, ameuawa na wananchi wanaotajwa kukasirishwa na kitendo chake cha kupeleka waganga wa jadi kijijini kwa lengo la kuifanyia zindiko nyumba yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Th4ut6nVkKk/VhPwJhMj2MI/AAAAAAABWus/6PEAsqBoba0/s72-c/OTH_1694.jpg)
LOWASSA AHANI MSIBA WA MZEE KISUMO, KIJIJINI KWAKE USANGI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Th4ut6nVkKk/VhPwJhMj2MI/AAAAAAABWus/6PEAsqBoba0/s640/OTH_1694.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BzCY8KxtCNQ/VhPwKtJdrYI/AAAAAAABWu8/guDHfb4YFMI/s640/Lowassa%2Bmakaburini%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lnes5xMfD5g/VhPwMrUv9wI/AAAAAAABWvI/E-BkovB6MI4/s640/Lowassa%2Bmakaburini.jpg)
11 years ago
MichuziKAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
11 years ago
Habarileo12 Jun
Waganga wa kutibu kwa ngono mbaroni
POLISI Mkoa wa Temeke, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambayo masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
11 years ago
Habarileo15 Jun
Mabinti watoa mimba kwa waganga wa jadi
WATOTO wanaokatisha masomo kwa kupata ujauzito na wengine wanaopata mimba kabla ya ndoa wakiwa nyumbani, wanadaiwa kujihusisha na utoaji mimba kwa waganga wa jadi kutokana na hofu ya kutengwa na jamii.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Magema kupeleka kilio chao kwa Pinda
BAADA ya uongozi wa Wilaya na Mkoa wa Geita kukaidi kusikiliza malalamiko ya wananchi wa Kitongoji cha Magema kilichopo kijiji cha Nyamalembo, wananchi hao wameazimia kupeleka malalamiko yao kwa Waziri...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaGKbfRJ4CFwKQBC8nITM6h-XQ8ETwJdKpKHIVlmi00wxenFQMHNRvFCBwtjhAvR7ClCtbJtG60uJFNfmw-eG-y6/maneki.jpg)
MANAIKI: NATAKA KUPELEKA POSA KWA WOLPER
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Kwa nini Watanzania hawana imani na waganga wa jadi?
10 years ago
Habarileo01 Apr
Wahukumiwa kwa kushindwa kupeleka watoto wao shule
WAZAZI 19 wa wanafunzi walioshindwa kuripoti kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo wa 2014/2015 wamehukumiwa kifungo cha nje cha miezi mitatu kila mmoja kutokana na kosa la kushindwa kuwapeleka watoto wao shuleni.