Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera
Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa chumba cha kuhifadhi maiti cha City mjini Nairobi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Msongo wa mawazo,majonzi na kilio
Hapa ndipo homa kali ya Ebola ilipowafikisha wakazi wa mataifa ya Afrika Magharibi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7vdk52AymDIq4KwyMPC8hRtJ6tmlceWsxX9ReLcKGizEWPvlmBR-iAkTQXE25mjt7Png72xHALIjtPRNXPHVrwh/marais.jpg)
MARAIS WALIOUAWA KWA KUPIGWA RISASI
BAADA ya wiki iliyopita kuwaletea marais wa Afrika waliofia madarakani. Yaani walikuwa wakiongoza nchi zao wakakumbwa na mauti. Wiki hii tunawaletea marais waliouawa kwa kupigwa risasi wakiwa madarakani.
ABRAHAM Lincoln; alikuwa Rais wa 16 wa Marekani. Aliuawa mwaka 1865 jijini Washington kwa kupigwa risasi kichwani kwa nyuma na John Wilkes. Alikuwa amekaa na mkewe. Bastola iliyotumika inaitwa Deringer.
INDIRA...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Waliouawa kwa kulipa kisasi watambuliwa
Majina na miili ya watu saba kati ya tisa wanaodaiwa kuuawa katika mapigano ya jamii mbili za wafugaji wa Kabila la Wabarbag na Wasukuma katika Kijiji cha Kihale wilayani hapa, mkoani Pwani yametambuliwa huku miili hiyo ikiwa imeharibika vibaya.
10 years ago
GPLMAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA
Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar ...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu…
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii
Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LuNFyubT92cWak1o-dztFxmjtsdT-gv18LJBF7QXhCDEVFIo9FHuZkjHMDa6FxueBXbUogZ6omI0GIfvB9NxRXu/MAXI.jpg)
Maximo anatia huruma, awaaga wachezaji kwa majonzi
Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Waandishi Wetu
AKIWA na uso wa huzuni, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, jana alifika kwenye mazoezi ya timu hiyo asubuhi na kuwaaga wachezaji wake. Hiyo ni baada ya kupewa taarifa za kutimuliwa na uongozi wa timu hiyo kufuatia kipigo cha mabao 2-0 walichokipata dhidi ya Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa wikiendi iliyopita. Maximo alifika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TRSLPv0SJ1g/VRxTEE0JuwI/AAAAAAAHO3U/hTFXyhMXR2Y/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
IGP MANGU ATOA HESHMA KWA ASKARI WALIOUAWA WILAYANI MKURANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TRSLPv0SJ1g/VRxTEE0JuwI/AAAAAAAHO3U/hTFXyhMXR2Y/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9I0pel4wnuE/VRxTELsIKfI/AAAAAAAHO3Y/65FV-2CkjPI/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
MichuziMWILI WA MAREHEMU MZEE SAMWELI NTAMBALA LWANGISA WAPOKELEWA BUKOBA, MAJONZI YATANDA KWA WANABUKOBA.
Mwili wa Marehemu Samuel Ntambala Luangisa uliwasili usiku wa kumkia leo katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Mauti yalimkuta akiwa Nchini Marekani na maziko yake itakuwa kesho jumatano june 3,2015. Wakati wa Uhai wake Marehe Samwel Luangisa aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kagera (ukiitwa ziwa magharibi), Aliwahi pia kuwa mbunge wa Bukoba Mjini, Meya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsYVKE-pbjZ0MvMlY72WoREwIc563VzavC5UggkrxZeKHhOQYluYaN4taOS6znQVBAuEAj33wtvo*UbjDVQQNA8jscpII3dK/FRONTJUMATANO.jpg?width=650)
WEMA AFUNGA MWAKA KWA KILIO!
Stori: Musa Mateja na Imelda Mtema
OHOOOO! Wakati pazia la mwaka 2014 likifungwa leo, mama la mama, Wema Sepetu ‘Madam’ ameuaga mwaka huo kwa staili ya kilio cha nguvu, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo hatua kwa hatua. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu ‘Madam akilia huku akibembelezwa na shost yake Aunt Ezekiel. NI KWENYE SHOO YAKE
Tukio hilo lililozua maswali mengi bila majibu,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania