Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA

Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar ...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI JIONI YA LEO MSIBANI KWA KAPTENI KOMBA

Mkurugenzi wa bendi ya African Stars, Asha Baraka, akisaini kitabu cha rambirambi.…

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBANI NYUMBANI KWA BWANA NA BI KIBODYA SPRINGFIELD.MA


Mke wa Bwana Kibodya akiwa mwenye udhuni baada ya kuondoewa na baba yake mpendwa huko Tanzania, Hapa ni nyumbani kwa Bwana na Bi Kibodya  Vail St, Springfield jana jioni ndugu, jamaa na marafiki walifika kutoa mkono wa pole kwa wafiwa huko.

 

10 years ago

Dewji Blog

Matukio ya picha za viongozi waliofika nyumbani kwa Capt. Komba kuifariji familia ya marehemu

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Kapteni John Komba aliyefariki jioni ya tarehe 28 februari 2015 jijini Dar es salaam,kushoto ni mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Salma Kikwete.

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole mke wa marehemu Kapteni John Komba nyumbani kwake Mbezi Tangi Bovu

Wasanii wa TOT wakilia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilio na majonzi kwa waliouawa Mandera

Familia za wachimba machimbo ya kokoto waliouawa na Al Shabaab mjini Mandera leo waliwapokea wapendwa wao baada ya miili yao kufikishwa chumba cha kuhifadhi maiti cha City mjini Nairobi

 

11 years ago

Mwananchi

Mwaka 2013 ulikuwa wa majonzi kwa wasanii

Mwaka 2013 ukiwa unaelekea ukingoni, umekuwa wa huzuni kwenye tasnia ya filamu kutokana na wasanii wengi kupoteza maisha.

 

10 years ago

GPL

Maximo anatia huruma, awaaga wachezaji kwa majonzi

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo. Na Waandishi Wetu
AKIWA na uso wa huzuni, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, jana alifika kwenye mazoezi ya timu hiyo asubuhi na kuwaaga wachezaji wake. Hiyo ni baada ya kupewa taarifa za kutimuliwa na uongozi wa timu hiyo kufuatia kipigo cha mabao 2-0 walichokipata dhidi ya Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe iliyochezwa wikiendi iliyopita. Maximo alifika...

 

11 years ago

GPL

MATUKIO 4 MSIBANI KWA TYSON

Stori: Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
MWILI wa marehemu George Otieno ‘Tyson’ usiku wa Jumanne iliyopita ulifikishwa nyumbani kwake Mbezi Makonde jijini Dar kwa ajili ya ndugu zake ambao kesho yake (Jumatano) wasingeweza kufika Viwanja vya Leaders Club kuuaga, wafanye hivyo. Aliyekuwa mke wa marehemu, George Otieno ‘Tyson’, Yvone Cherryl ‘Monalisa’akilia kwa uchungu. Ijumaa...

 

11 years ago

GPL

JK MSIBANI KWA MZEE SMALL

Rais Jakaya Kikwete akiwasili nyumbani kwa marehemu Mzee Small eneo la Tabata, Mawenzi Dar kuwapa pole wafiwa. Kulia ni Rais wa TAFF, Simon Mwakifwamba. Msanii mkongwe wa maigizo, Mashaka akiwa msibani na Zamaradi Mketema.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani