YALIYOJIRI JIONI YA LEO MSIBANI KWA KAPTENI KOMBA
Mkurugenzi wa bendi ya African Stars, Asha Baraka, akisaini kitabu cha rambirambi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Kapteni John Komba afariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ
Kutoka chumba cha habari cha modewjiblog , aliyekuwa Mkurugenzi wa TOT na Mbunge wa jimbo la Mbinga Magharibi, mkoa wa Ruvuma, Kapteni John Komba (pichani) amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ Mikocheni jijini Dar alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Mtoto wake Jerry Komba amesema chanzo cha kifo chake ni Kushuka kwa Sukari akiwa nyumbani kwake Mbezi, na kumpeleka Hospitali ambako mauti yalimkuta.
Chanzo cha habari chetu kinasema taratibu za kuhamisha mwili wa marehemu...
10 years ago
MichuziRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba,kijijini lituhi leo
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA KAPTENI DAMIANO KOMBA KIJIJINI LITUHI LEO
10 years ago
Dewji Blog01 Mar
10 years ago
GPLMAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/b3VmwKK_Qv4/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3MWqP4uTHkU/default.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Mar
Buriani Kapteni John Komba
NI huzuni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jimbo la Mbinga Magharibi, Taifa, marafiki na familia, baada ya kufikwa na msiba mkubwa wa kiongozi, Mbunge, Kapteni wa Jeshi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) na msanii mashuhuri wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Kapteni John Komba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA