HALI YA MSHAMBULIAJI WA ZAMANI WA YANGA NSA JOB SI NZURI
![](http://api.ning.com:80/files/kpD37olj0H1015YwRDjQlErhGkwatZjzeEyprl1GiG1ouY7bpx4S00Lvn-dPwb3QBnzP*NXA7qqaJzbVmUNNguyCt1TtVPcR/nsa22.jpg)
Muonekano wa X-Ray ya kichwa ya Nsa Job baada ya kupigwa jiwe mjini Moshi juzi Usiku. Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union (kulia). UCHUNGUZI  wa mwanzo wa madaktari katika Hospitali ya KCMC mjini Moshi, unaonyesha Nsa Job ameumia sana. Rafiki yake wa karibu leo amesema bado hali ya kiungo huyo na mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union si nzuri. “Walifanya kipimo cha CT Scan kuangalia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s72-c/IMG-20141121-WA0001.jpg)
SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s1600/IMG-20141121-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rxEqY6guoQQ/VHQ58aLhP_I/AAAAAAAAdDc/fEs1kFQdNws/s1600/IMG-20141121-WA0011.jpg)
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC
Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD
TRANSIMISSION: AUTOMATIC.
GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200
![](http://3.bp.blogspot.com/-FuRjgbElCCg/VHQ5_YruKuI/AAAAAAAAdDk/VSs2l0FKOsc/s1600/IMG-20141121-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BTPDXbFgXhg/VHQ5f3llbcI/AAAAAAAAdCU/oodO7dRPRBU/s1600/IMG-20141121-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsDINqHH0uI/VHQ5oGlwc2I/AAAAAAAAdCs/katqD9kMlX4/s1600/IMG-20141121-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKoBHS7WeV0/VHQ5iVtHILI/AAAAAAAAdCc/FvhdrDbdv2E/s1600/IMG-20141121-WA0002.jpg)
Kwa ndani inaonyoonekana
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mtyd0nqkCag/VHQ5r-M4nII/AAAAAAAAdC0/FrK7MC4AYnY/s1600/IMG-20141121-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I-4X8OKr2ME/VHQ5tfRAOLI/AAAAAAAAdC8/eDXJ0jL-f3c/s1600/IMG-20141121-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f7mMmsXOHDI/VHQ5xGCg8OI/AAAAAAAAdDE/XQifpT_vrtI/s1600/IMG-20141121-WA0006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Li1AMeKIPk/VHQ54iajq9I/AAAAAAAAdDQ/mQDde2lWlUY/s1600/IMG-20141121-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SvPpgTNnrS8/VHQ54VErRHI/AAAAAAAAdDM/-14q7YZhtrg/s1600/IMG-20141121-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LjdUzi0DRNY/VHQ6E5-jxyI/AAAAAAAAdDs/bfns_Wi_x-s/s1600/IMG-20141122-WA0004.jpg)
10 years ago
BBCSwahili28 Jul
Mshambuliaji wa Congo yuko hali mahututi
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
News:Mto pepo hali sio nzuri
Nikiwa live katika redio chuchufm, wananchi wakilalamika kwa matendo ya sheha baada ya kumaliza kupiga kura kuwepo nje ya kituo, wakati huo huo kazi yake kuonesha vidole kwa jeshi la Polisi kuwakamata vijana na kuchukuliwa, hali […]
The post News:Mto pepo hali sio nzuri appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
CloudsFM14 Aug
HALI YA AFANDE SELE SI NZURI BAADA YA KUFIWA NA MAMA WA WATOTO WAKE
Msanii wa Bongo Fleva,Afande Sele hali yake imekuwa mbaya baada ya kufiwa na mzazi mwenziye Asha Mohamed’Mama Tunda’.
Msanii huyo inawezekana akawa ni moja kati ya watu maarufu hapa nchini ambao wanaongoza kwa kuwataja wenza wao sehemu tofauti tofauti ambapo zaidi ya miaka 10 amesikika akimtaja wa ubavu wake, mara kwa mara hiyo ni wakati wakiwa wanaishi pamoja na mama tunda ambaye ni mzazi mwenzake waliyezaa nae watoto wawili, wa kwanza ni Tunda pamoja na Asante Sanaa. Mama Tunda amefariki...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
UN Tanzania yazindua ripoti ya Teknolojia na Ubunifu 2015, nchi za Afrika hali si nzuri
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula (suti nyeusi) mara baada ya kuwasili wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano wa Mozambique uliopo katika Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam.
Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula akitoa neno la...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video)
Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda. December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya mgahawa mmoja China kuwatoza wateja wote kama Yuan 1 ambazo ni kama Tshs. 333 hivi kwa ajili ya kupata hewa safi ndani ya mgahawa huo, […]
The post China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s72-c/KIJANA%2BDANNY.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: MSHAMBULIAJI DANNY MRWANDA AMWAGA WINO YANGA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s1600/KIJANA%2BDANNY.jpg)
Yanga imewafanyia umafia watani zao wa jadi Simba,ambayo ilionyesha nia kubwa ya kumuhitaji Mrwanda ikiwa ni kwa hudi na uvumba na tayariilishatangaza nia yake hiyo ya kutaka kumsajili.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga kinasema kuwa,Yanga imeamua kumsajili Mrwanda kuchukua nafasi ya Said Bahanuzi aliyetolewa kwa mkopo kwenda Polisi Morogoro...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI AMJULIA HALI MBOWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-sCt50ITUTjA/Xt9ntAlMMDI/AAAAAAAC7Ik/ipsFHdMebxA_G_L1gl-J7lMAUWudrpW5QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)