Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


News:Mto pepo hali sio nzuri

Nikiwa live katika redio chuchufm, wananchi wakilalamika kwa matendo ya sheha baada ya kumaliza kupiga kura kuwepo nje ya kituo, wakati huo huo kazi yake kuonesha vidole kwa jeshi la Polisi kuwakamata vijana na kuchukuliwa, hali […]

The post News:Mto pepo hali sio nzuri appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video)

Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda. December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya mgahawa mmoja China kuwatoza wateja wote kama Yuan 1 ambazo ni kama Tshs. 333 hivi kwa ajili ya kupata hewa safi ndani ya mgahawa huo, […]

The post China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC


Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD 

TRANSIMISSION: AUTOMATIC.

GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Kwa ndani inaonyoonekana

 

11 years ago

BBCSwahili

Ukraine hali sio hali-22 wauawa

Angalau watu 22 wameuawa katika ghasia zilizozuka upya kati ya waandamanaji na polisi mjini Kiev Ukraine, baada ya makubaliano yaliyofikiwa kutibuka.

 

9 years ago

GPL

HALI YA MSHAMBULIAJI WA ZAMANI WA YANGA NSA JOB SI NZURI

Muonekano wa X-Ray ya kichwa ya Nsa Job baada ya kupigwa jiwe mjini Moshi juzi Usiku. Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union (kulia). UCHUNGUZI  wa mwanzo wa madaktari katika Hospitali ya KCMC mjini Moshi, unaonyesha Nsa Job ameumia sana.
Rafiki yake wa karibu leo amesema bado hali ya kiungo huyo na mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union si nzuri.
“Walifanya kipimo cha CT Scan kuangalia...

 

10 years ago

CloudsFM

HALI YA AFANDE SELE SI NZURI BAADA YA KUFIWA NA MAMA WA WATOTO WAKE

Msanii wa Bongo Fleva,Afande Sele hali yake imekuwa mbaya baada ya kufiwa na mzazi mwenziye Asha Mohamed’Mama Tunda’.Msanii huyo inawezekana akawa ni moja kati ya watu maarufu hapa nchini ambao wanaongoza kwa kuwataja wenza wao sehemu tofauti tofauti ambapo zaidi ya miaka 10 amesikika akimtaja wa ubavu wake, mara kwa mara hiyo ni wakati wakiwa wanaishi pamoja na mama tunda ambaye ni mzazi mwenzake waliyezaa nae watoto wawili, wa kwanza ni Tunda pamoja na Asante Sanaa. Mama Tunda amefariki...

 

9 years ago

Dewji Blog

UN Tanzania yazindua ripoti ya Teknolojia na Ubunifu 2015, nchi za Afrika hali si nzuri

IMG_8832

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula (suti nyeusi) mara baada ya kuwasili wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano wa Mozambique uliopo katika Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam.

IMG_8864

Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula akitoa neno la...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula

Wilaya ya Uyui ni moja kati ya wilaya saba za mkoa wa Tabora na inaundwa na kata 29, vijiji 156 na vitongoji 688. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya hii ina jumla ya wakazi 396,623 kwa maana ya wanaume 196,446, wanawake 200,177 na kuna wastani wa watu 6.6 katika kila kaya.

 

5 years ago

CCM Blog

GARI LATUMBUKIA MTO WAMI, DEREVA BADO YUPO CHINI YA MAJI. MTO UNA VIBOKO NA MAMBA (+ VIDEO)


Kutoka Daraja la Wami, zimetokea ajali mbili tofauti ambazo hazijapishana sana, moja ni ya Lori ambalo lilifeli breki na kutumbukia Mtoni na bado halijatolewa huku ikiaminika kuwa Dereva bado yupo ndani ya Lori hilo chini ya maji tangu Ijumaa June 05, 2020 ajali ilipotokea, wenzake wawili tayari wameokolewa .Wakati Watu wakiwa wamejaa kushuhudia ajali hiyo ghafla Lori jingine pia likafeli breki na kuua Watu wawili (Mama na Mtoto) kisha kuyazoa magari zaidi ya sita ambayo yote yameharibika...

 

10 years ago

GPL

PEPO WA AJALI NI AHUYU HAPA

Stori: Ojuku Abraham
HAKUNA lugha nyingine ya kusema zaidi ya kuainisha kuwa pepo wa ajali za barabarani zinazoua mamia ya watu ni uzembe wa kutisha unaofanywa na madereva katika uendeshaji magari bila utii wa sheria.                           Basi la Mtei Express likiovateki wakati kuna magari mawili yanakuja kwa mbele. Uchunguzi wa Gazeti la Ijumaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani