BREAKING NYUZZZZ.....: MSHAMBULIAJI DANNY MRWANDA AMWAGA WINO YANGA USIKU HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uarnns2BDr8/VIX8NB7wh3I/AAAAAAAG2Iw/ZM4tXwU_0pA/s72-c/KIJANA%2BDANNY.jpg)
Mshambuliaji Danny Mrwanda amemwaga wino wa kuitumikia klabu ya Yanga ya jijini Dar es salaam kwa mkataba wa mwaka mmoja usiku huu.
Yanga imewafanyia umafia watani zao wa jadi Simba,ambayo ilionyesha nia kubwa ya kumuhitaji Mrwanda ikiwa ni kwa hudi na uvumba na tayariilishatangaza nia yake hiyo ya kutaka kumsajili.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Klabu ya Yanga kinasema kuwa,Yanga imeamua kumsajili Mrwanda kuchukua nafasi ya Said Bahanuzi aliyetolewa kwa mkopo kwenda Polisi Morogoro...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Jaja amwaga wino Yanga
HATIMAYE Klabu ya Yanga, jana ilimsainisha mkataba wa miaka miwili Mbrazil Geilson Santos Santana ‘Jaja’, wa kukipiga katika kikosi cha timu hiyo kuanzia msimu ujao. Jaja, anakuwa nyota wa pili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s72-c/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera amwaga wino Yanga
![](http://2.bp.blogspot.com/-UQ22ksITao8/VHxuKjkl2SI/AAAAAAAG0kk/Ikvu1rj3ZHU/s1600/emerson_310_230.jpg)
Kiungo Mbrazil Emerson De Olivera Neves Roque pichani kushoto akisaini mkataba leo jijini Dar,wa kutumikia Klabu ya Young Africans,Kulia ni Afisa Habari wa klabu hiyo Baraka Kizuguto.
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikimpa mkataba wa mwaka mmoja kiungo Emerson De Oliveira, watani zao Simba wamemtema rasmi mshambuliaji Paul Kiongera.
Emerson amesaini mkataba huo baada ya benchi la ufundi chini ya Mbrazil Marcio Maximo kuridhika na kiwango chake na sasa ataitumikia timu hiyo ya Jangwani.
Emerson...
11 years ago
Michuzi06 Jun
BREAKING NYUZZZZ....: MCHEZAJI WA ZAMANI WA TIMU YA SIMBA,GEBBO PETER AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
GLOGU YA JAMII INAFATILIA TARATIBU ZOTE ZA MSIBA HUO NA TUTAENDELEA KUTAARIFIANA KADRI TUTAKAVYOKUWA TUKIZIPATA.
9 years ago
MillardAyo25 Dec
TFF imetangaza kuwazuia wachezaji kadhaa kucheza Ligi Kuu ikiwemo Danny Mrwanda kisa? ….
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kupitia kamati ya haki na hadhi za wachezaji December 23 ilikaa na kupitia mapingamizi yalikuwa yamewasilishwa kuhusu suala la usajili, mara tu dirisha dogo la usajili lilipofungwa December 15 mwaka huu. Kamati hiyo inayoongozwa na mwenyekiti wake Richard Sinamtwa imekaa December 23 na kupitia usajili wa vilabu mbalimbali […]
The post TFF imetangaza kuwazuia wachezaji kadhaa kucheza Ligi Kuu ikiwemo Danny Mrwanda kisa? …. appeared first on...
10 years ago
Mtanzania25 May
Mwalyanzi amwaga wino Simba
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KLABU ya Simba imejibu mapigo ya wapinzani wao wa jadi, Yanga, baada ya kumnasa aliyekuwa kiungo wa Mbeya City, Peter Mwalyanzi na kumpa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo msimu ujao.
Jana Simba iliangukia pua kwenye mbio za kumnasa winga Deus Kaseke, aliyekuwa amemaliza mkataba wake Mbeya City kama Mwalyanzi, baada ya Yanga kumuwahi na kumsajili.
Wakati Simba ikiinasa saini ya Mwalyanzi, imefanikiwa kuzizidi kete Azam FC na Yanga ambazo awali...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8rfCugSOkgo/VcEtlCubueI/AAAAAAAHuQI/2-hP9f75hEg/s72-c/sa1.jpg)
JK AMWAGA WINO MISWADA MITANO YA SHERIA
Katika sherehe iliyofanyika katika Ukumbi mpya wa Ikulu, Dar Es Salaam,Rais Kikwete ameridhia Muswada wa Sheria ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada wa Uwazi na Uwajibikaji, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na Gesiasilia, Muswada...
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Andrey Coutinho amwaga wino Jangwani
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho (kulia).
Na MOblog Team
Kiungo wa Yanga, Mbrazil Andrey Coutinho, amemwaga wino wa kukipiga Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili, huku akikabidhiwa jezi namba 7 iliyokuwa ikivaliwa na Didier Kavumbagu aliyejiunga na Azam FC.
Nyota huyo aliyetua nchini siku moja baada ya Maximo kuwasili na kusaini mkataba wa kuinoa Yanga kwa kipindi kama hicho, ameomba sapoti ya wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo ili aweze kutimiza malengo ya kuisaidia...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Cheka amwaga wino kuzichapa na Mrusi
BONDIA mahiri wa ngumi za kulipwa Tanzania, Francis Cheka, jana alimwaga wino kupigana na Mrusi, Valey Brudov, mwezi ujao huku akiitupia lawama serikali kwa kutothamini wanamichezo hapa nchini. Cheka, bondia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTXF7TErLIY/U5OvqoTy9kI/AAAAAAAFoos/kjm-gm68uVk/s72-c/b3.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ.....: MZEE SMALL AFARIKI DUNIA USIKU HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTXF7TErLIY/U5OvqoTy9kI/AAAAAAAFoos/kjm-gm68uVk/s1600/b3.jpg)
AKITHIBITISHA TAARIFA YA KIFO CHA MZEE SMALL,MWANAE AITWAE MAHMOUD AMESEMA MZEE WAKE AMEFIKWA NA MAUTI HAYO MAJIRA YA SAA NNE USIKU WAKATI AKIWA HOSPITALINI HAPO AKIENDELEA KUPATIWA MATIBABU.
MIPANGO INAFANYIKA NYUMBANI KWAO TABATA NA KADRI TAARIFA ZITAKAVYOKUWA ZIKITUFIKIA TUTAENDELEA KUJULISHANA.
NI PIGO...