Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge watakiwa kutathmini VAT

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka wabunge wake, kuhakikisha wanafanya tathmini na kupitia upya Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na kuweka viwango vya tozo hiyo, kulingana na huduma inayotolewa kupunguza malalamiko ya wananchi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tunduma watakiwa kutathmini nyumba zao

DIWANI wa Tunduma, Frank Mwakajoka, amewataka wakazi wa kata hiyo ambao nyumba zao zipo kandokando mwa barabara kuu ya Tunduma -Sumbawanga kuzifanyia tathmini kama zipo ndani ya hifadhi ya barabara...

 

5 years ago

Michuzi

WAJUMBE UMOJA WA WABUNGE WANAWAKE TANZANIA WASHIRIKI KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUTATHMINI MAENDELEO YA PROGRAMU YA MALEZI JIJINI DODOMA


Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo mbele ya Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa kikao cha Maandalizi ya Kutathmini Maendeleo ya Programu ya Malezi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.Kaimu Mwenyekiti Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) Mhe. Zainab Vullu (katikati) akizungumza na Wajumbe wa Umoja wa Wabunge Wanawake Tanzania (TWPG) wakati wa kikao cha Maandalizi ya Kutathmini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge watakiwa kuwa wazalendo

CHAMA cha Waandishi wa Habari wa Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya na Uhalifu Tanzania (OJADACT), kimewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa wazalendo wa kuzipigania tunu za...

 

10 years ago

Habarileo

Tanesco, wabunge watakiwa kukaa pamoja

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia KabakaSERIKALI imewaagiza maofisa wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), katika ngazi ya mkoa, kukaa na viongozi wa wilaya na wabunge wa maeneo husika, kuainisha mahitaji ya umeme, yaliyopo kwenye maeneo husika na kuyatafutiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge waliokwepa safari watakiwa kurejesha posho

Sakata la wabunge waliochukua posho kwa ajili ya safari za mafunzo nje ya nchi na kuacha kusafiri, limeingia hatua mpya baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuwataka wazirudishe.

 

5 years ago

Michuzi

KIMENUKA CHADEMA... WABUNGE WANNE WAFUTWA UANACHAMA, WENGINE NAO WATAKIWA KUJIELEZA

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuwafukuza uanachama Mbunge wake Anthony Komu pamoja na Joseph Selani kwa madai licha ya kujipotezea sifa ya uanachama wameendelea kutoa maneno ya kejeli na dharau dhidi ya Chama na viongozi wake.
Pia Chama hicho kimetangaza kuwafuta unachama Mbunge David Silinde na Mbunge Wilfred Rwakatare kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kuonekana kwenye vyombo vya habari na njia nyingine za mawasiliano kutoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faida za kutathmini biashara

WAFANYABIASHARA  wengi hawana utamaduni wa kupima hali ya biashara zao, wamekuwa wakifanya biashara kimazoea. Jambo hilo huwagharimu na hata wakati mwingine biashara inashindwa kustahimili na kuanguka kabisa. Biashara inapaswa kuchekiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kutathmini mfumo wa usajili

Serikali imekusudia kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio mbalimbali muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini, ili kuchukua na kuhifadhi taarifa za kina zinazohusu vizazi, vifo, ndoa na talaka.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu Chadema kutathmini uchaguzi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kuitisha kikao cha Kamati Kuu Maalumu ili kujadili matokeo ya uchaguzi wa mitaa na hatua watakazochukua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani