Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.

 Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa (pichani kulia) siku ya Jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano ya Kamanda Ras Makunja na Zenj FM, asema Wanamuziki wa Bongo watoe kazi zao nje ya nchi

Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi ! Mnakubalika-
Asema Ras Makunja.

Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule
nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa siku ya jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa...

 

11 years ago

Michuzi

WANAMUZIKI WA TANZANIA WANAOWAKILISHA NJE YA NCHI …

Kuna wanamuziki wa Tanzania wengi walio nje ya nchi lakini wengi huwa hatupati nafasi ya kuzijua na kuzisikia kazi zao wakiwa ughaibuni.
Leo tuwatambue wakongwe na nguli wa muziki wa dansi  nchini wakiwa mabalozi wetu nchini Japan wakiwa na kundi linaloitwa Tanzanite BandHawa ni Fresh Jumbe (mwimbaji, katikati), Abbu Omar (Solo Guitar, kulia) na Lister Elia (key board, kushoto).
Fresh Jumbe amepitia bendi kubwa sana nchini kama Dar International (Super Bomboka), JUWATA Jazz (Msondo Ngoma), DDC...

 

10 years ago

Vijimambo

GWANDA ZA KAMANDA RAS MAKUNJA

Inasemekana ndie msanii anayepiga gwanda za kutisha ,na sheria ya nchi ya ujerumani inamuruhusu, kwa hivyo ajafunja sheria ya bongoGwanda za mkuu wa kikosi cha FFU-ughaibuni Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band ambaye pia ni mmliki wa himaya ya Viumbe wa ajabu "Anunnaki Empire" yenye makao yake kule Ujerumani,gwanda za mkuu huyo hazina uhusiano wowote na JWTZ,na zoezi linaloendeshwa hapa bongo la kuwasaka wasanii wenye
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...

 

9 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA

Siku kama ya leo 19 September ndio siku ya kuzaliwa mkuu wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ya kule ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja aka mkuu wa viumbe wa ajabu "Anunnaki Alien" alizaliwa mjini Dar-es-Salaam,akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja),Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja mtunzi na mwimbaji mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday !!!!! yakepia unaweza kuburudika na...

 

10 years ago

Michuzi

HEPI BESIDEI YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA

Siku kama ya leo 19 September ndio siku ya kuzaliwa mkuu wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ya kule ujerumani, kamanda Ras Makunja (pichani) alizaliwa mjini Dar-es-Salaam, akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja leo ndio Happy Birthday !!!!! yake pia unaweza kuburudika na kusherekea naye katika kambi yao FFU-Ughaibuni at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com

 

9 years ago

Michuzi

HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI

Leo 19 September ndio siku ya kuzaliwa mkuu wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU-Ughaibuni  ya kule ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja aka mkuu wa viumbe wa ajabu "Anunnaki Alien" alizaliwa mjini Dar-es-Salaam.
Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji  mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday  yake.
Unaweza kuburudika na...

 

10 years ago

Vijimambo

KICHEKO CHA KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU KULIKONI ?

Kia aliyemuzunguka kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band aka FFU-ughaibunialishutushwa na kicheko cha kamanda ! watu tunajiuliza kulikoni kamanda kafurahi mpaka meno yote yanaonekana !Labda tujiunge nao FFU ili kujua zaidi kulikoni kamanda kacheka sana at www.ngoma-africa.com

 

10 years ago

Vijimambo

Nidhamu kazini ! kina Ras Makunja wakiwahi kibaruani

Tupo mwanzoni mwa mwaka 2015,Lakini swala la kuwahi kazini na nidhamu katika kazi ni muhimu sana sana kama tuwaonavyo wenzetu akina Ras Makunja (pichani) kabla ya muziki kuanza lazima nidhamu iwepo pamoja kuwahi kazini ! pia wenzetuhawa FFU aka kina ras makunja ndio watumishi wa umma wanaongoza kwa kupigavita vitambi au ugonjwa wa kufura minyama nyama ya uzembe mwilini.siorahisi kuwaona watumishi wa umma hawa kuwa na vitambi..lazima tuige mfanobora kutoka kwao

 

11 years ago

Michuzi

Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band mwanamuziki mpiganaji

Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band ni mwanamuziki mpiganaji aliyepachikwa majina mengi ya utani kutokana na matukio na vibweka vyake. Unapoutaja muziki wa dansi wa Tanzania maarufu kama "Bongo Dansi" jina la Mwamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja na mzimu wake wa "Ngoma Africa band" aka FFU-Ughaibuni ama ukipenda waite "Watoto wa Mbwa" au Viumbe wa ajabu "Anunnaki Aliens" yenye makao yake kule Ujerumani, vyote hivyo sawa.   Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja wa FFU-Ughaibuni,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani