Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa (pichani kulia) siku ya Jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s72-c/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Mahojiano ya Kamanda Ras Makunja na Zenj FM, asema Wanamuziki wa Bongo watoe kazi zao nje ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s1600/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Asema Ras Makunja.
Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule
nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa siku ya jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AeeHAjcaG3E/U-DTUw0ZZJI/AAAAAAAF9Ts/-wDQ5i7BF2Q/s72-c/unnamed+(43).jpg)
WANAMUZIKI WA TANZANIA WANAOWAKILISHA NJE YA NCHI …
![](http://4.bp.blogspot.com/-AeeHAjcaG3E/U-DTUw0ZZJI/AAAAAAAF9Ts/-wDQ5i7BF2Q/s1600/unnamed+(43).jpg)
Leo tuwatambue wakongwe na nguli wa muziki wa dansi nchini wakiwa mabalozi wetu nchini Japan wakiwa na kundi linaloitwa Tanzanite BandHawa ni Fresh Jumbe (mwimbaji, katikati), Abbu Omar (Solo Guitar, kulia) na Lister Elia (key board, kushoto).
Fresh Jumbe amepitia bendi kubwa sana nchini kama Dar International (Super Bomboka), JUWATA Jazz (Msondo Ngoma), DDC...
10 years ago
VijimamboGWANDA ZA KAMANDA RAS MAKUNJA
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
9 years ago
VijimamboHAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
HEPI BESIDEI YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s320/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday yake.
Unaweza kuburudika na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s72-c/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
KICHEKO CHA KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU KULIKONI ?
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s1600/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W6xCAhLHoss/VLRy8LBdKpI/AAAAAAADVbI/yF15qge_irA/s72-c/jklaw%2B(3)%2BAkina%2BRas%2BMakunja%2Bna%2Bnidhamu%2Bkazini%2Cjitayarishe%2Bkwanza%2Bkabla%2Bya%2Bmuziki.jpg)
Nidhamu kazini ! kina Ras Makunja wakiwahi kibaruani
![](http://1.bp.blogspot.com/-W6xCAhLHoss/VLRy8LBdKpI/AAAAAAADVbI/yF15qge_irA/s1600/jklaw%2B(3)%2BAkina%2BRas%2BMakunja%2Bna%2Bnidhamu%2Bkazini%2Cjitayarishe%2Bkwanza%2Bkabla%2Bya%2Bmuziki.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uxU8RH7qB9U/U4ISu4i3y5I/AAAAAAAFk9I/nhWBiEXS3do/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band mwanamuziki mpiganaji