Nidhamu kazini ! kina Ras Makunja wakiwahi kibaruani
![](http://1.bp.blogspot.com/-W6xCAhLHoss/VLRy8LBdKpI/AAAAAAADVbI/yF15qge_irA/s72-c/jklaw%2B(3)%2BAkina%2BRas%2BMakunja%2Bna%2Bnidhamu%2Bkazini%2Cjitayarishe%2Bkwanza%2Bkabla%2Bya%2Bmuziki.jpg)
Tupo mwanzoni mwa mwaka 2015,Lakini swala la kuwahi kazini na nidhamu katika kazi ni muhimu sana sana kama tuwaonavyo wenzetu akina Ras Makunja (pichani) kabla ya muziki kuanza lazima nidhamu iwepo pamoja kuwahi kazini ! pia wenzetuhawa FFU aka kina ras makunja ndio watumishi wa umma wanaongoza kwa kupigavita vitambi au ugonjwa wa kufura minyama nyama ya uzembe mwilini.siorahisi kuwaona watumishi wa umma hawa kuwa na vitambi..lazima tuige mfanobora kutoka kwao
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboGWANDA ZA KAMANDA RAS MAKUNJA
Inasemekana ndie msanii anayepiga gwanda za kutisha ,na sheria ya nchi ya ujerumani inamuruhusu, kwa hivyo ajafunja sheria ya bongo
Gwanda za mkuu wa kikosi cha FFU-ughaibuni Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band ambaye pia ni mmliki wa himaya ya Viumbe wa ajabu "Anunnaki Empire" yenye makao yake kule Ujerumani,gwanda za mkuu huyo hazina uhusiano wowote na JWTZ,na zoezi linaloendeshwa hapa bongo la kuwasaka wasanii wenye
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
mavazi ya kijeshi ,kamanda Ras Makunja na kikosi chake haliwahusu...
9 years ago
VijimamboHAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
HEPI BESIDEI YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-44GF9_Avefk/VBvTUeip4CI/AAAAAAAGkZs/SJzjm0qHIx0/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s72-c/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
KICHEKO CHA KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU KULIKONI ?
![](http://3.bp.blogspot.com/-IBtCLfVXHgo/VIy1rAWlwpI/AAAAAAADRdg/B1c61OWXUgw/s1600/other%2Bface%2Bof%2Bkamanda.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
HAPPY BIRTHDAY KAMANDA RAS MAKUNJA WA FFU UGHAIBUNI
![](http://3.bp.blogspot.com/-DfacekGT3zE/VfzN3V781eI/AAAAAAAH5_A/G2UMOR12H_Q/s320/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja), Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja ni mtunzi na mwimbaji mahili wa muziki wa dansi leo ndio Happy Birthday yake.
Unaweza kuburudika na...
9 years ago
Michuzi09 Oct
Kamanda Ras Makunja Akihojiwa na Radio Zenj FM kuhusu uchaguzi
Mwanamziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja mkuu kikosi cha Ngoma Africa band aka FFU-Ughaibuni,amehojiwa na Radio Zenj Fm siku ya 8 Oktoba 2015 kuhusu mtazamo wa Watanzania walio nje ya nchi kuelekea uchaguzi mkuu. msikilize katika audio
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uxU8RH7qB9U/U4ISu4i3y5I/AAAAAAAFk9I/nhWBiEXS3do/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band mwanamuziki mpiganaji
Kamanda Ras Makunja wa Ngoma Africa band ni mwanamuziki mpiganaji aliyepachikwa majina mengi ya utani kutokana na matukio na vibweka vyake.
Unapoutaja muziki wa dansi wa Tanzania maarufu kama "Bongo Dansi" jina la Mwamuziki Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja na mzimu wake wa "Ngoma Africa band" aka FFU-Ughaibuni ama ukipenda waite "Watoto wa Mbwa" au Viumbe wa ajabu "Anunnaki Aliens" yenye makao yake kule Ujerumani, vyote hivyo sawa.
Mwanamuziki Kamanda Ras Makunja wa FFU-Ughaibuni,...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
MLINZI No.1 KOPLO DOG DOMO BAYA WA RAS MAKUNJA AMFUKUZIA WAGENI BOSS !
![](http://4.bp.blogspot.com/-CtkQ6hvjBPE/VggWhkF4b7I/AAAAAAAH7bI/Arov8gnKmRI/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
MBWA DOMO BAYA LAWAMANI KWA KUMTOROSHA BUNDI WA KAMANDA RAS MAKUNJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GzdpgWCxdTE/VXaMBjjuHMI/AAAAAAAHdO8/7PD978qOuZw/s320/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Kutoroka kwa Bundi huyo kumesababishwa na mbwa wa kamanda aitwae Kopro Dogi Domobaya, mbwa huyo anashutumiwa kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania