WANAMUZIKI WA TANZANIA WANAOWAKILISHA NJE YA NCHI …
![](http://4.bp.blogspot.com/-AeeHAjcaG3E/U-DTUw0ZZJI/AAAAAAAF9Ts/-wDQ5i7BF2Q/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Kuna wanamuziki wa Tanzania wengi walio nje ya nchi lakini wengi huwa hatupati nafasi ya kuzijua na kuzisikia kazi zao wakiwa ughaibuni.
Leo tuwatambue wakongwe na nguli wa muziki wa dansi nchini wakiwa mabalozi wetu nchini Japan wakiwa na kundi linaloitwa Tanzanite BandHawa ni Fresh Jumbe (mwimbaji, katikati), Abbu Omar (Solo Guitar, kulia) na Lister Elia (key board, kushoto).
Fresh Jumbe amepitia bendi kubwa sana nchini kama Dar International (Super Bomboka), JUWATA Jazz (Msondo Ngoma), DDC...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...
9 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWAUSIA MABALOZI WANAOWAKILISHA TANZANIA NCHI MBALIMBALI DUNIANI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s72-c/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Mahojiano ya Kamanda Ras Makunja na Zenj FM, asema Wanamuziki wa Bongo watoe kazi zao nje ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-cGuifDnB7-k/VTzrj4eCWnI/AAAAAAADkxc/OyPEKT5_zGY/s1600/Ebrahim-Makunja-aka-Ras-Makunja-Ngoma-Africa-band-leader.jpg)
Asema Ras Makunja.
Katika mahojiano ya Ras Makunja kiongozi wa Ngoma Africa band iliyopo kule
nchini ujerumani na Zenj FM katika kipindi maalumu cha muziki wa dansi kinaongozwa na mtangazaji mahiri bwana Mustapha Mussa siku ya jumamosi 25 April 2015.
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s72-c/unnamed.jpg)
MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2ONq0jtlaU/VWgkiSc89oI/AAAAAAAHaiQ/nEK76Rfo4wc/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ghGJdtv_QWw/VRKigOCUjYI/AAAAAAAHNGk/M-VcGALphHQ/s72-c/287.jpg)
Matunda ya Tanzania kuuzwa nje ya nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-ghGJdtv_QWw/VRKigOCUjYI/AAAAAAAHNGk/M-VcGALphHQ/s1600/287.jpg)
SERIKALI imeweza kushawishi mashirika ya kimataifa ya ndege kuongeza idadi ya safari pamoja na kiwango cha mzigo kinachosafirishwa kutoka Tanzania kwenda nje ya nchi, ikiwemo bidhaa za matunda.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alibainisha hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mhe. Muhammad Sanya, Mbunge wa Mji Mkongwe aliyehoji mpango wa Serikali katika kutafuta soko la matunda nje ya nchi.
Mhe. Mbene alisema TanTrade kwa...
10 years ago
VijimamboSWAHILI BLUES BAND YA ANZA KUJIPATIA UMAARUFU NJE YA NCHI YA TANZANIA
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...
11 years ago
Michuzi24 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a5dqNNOXk20/U9IZq9D9aeI/AAAAAAAF59g/oemB8J9n2BE/s72-c/20140723-232442-84282351.jpg)
RATIBA YA MABONDIA WA TANZANIA WANAOWAKILISHA TAIFA KATIKA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA SCOTLAND (NDONDI)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a5dqNNOXk20/U9IZq9D9aeI/AAAAAAAF59g/oemB8J9n2BE/s1600/20140723-232442-84282351.jpg)
Ratiba hiyo inaonyesha kuwa mashindanoo yataanza tarehe 25/07/14 na yatamalizika tarehe 02/08/14.katika ukumbi wa Secc (Hall 4A) na inaonyesha kuwa captain wa timu ya Tanzania Selemani kidunda ndiye atayeanza...
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi
TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...