Matunda ya Tanzania kuuzwa nje ya nchi
Na. Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA
SERIKALI imeweza kushawishi mashirika ya kimataifa ya ndege kuongeza idadi ya safari pamoja na kiwango cha mzigo kinachosafirishwa kutoka Tanzania kwenda nje ya nchi, ikiwemo bidhaa za matunda.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Janet Mbene alibainisha hayo bungeni mjini Dodoma wakati akijibu swali la Mhe. Muhammad Sanya, Mbunge wa Mji Mkongwe aliyehoji mpango wa Serikali katika kutafuta soko la matunda nje ya nchi.
Mhe. Mbene alisema TanTrade kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI WATEMBELEA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Pichani ni Mabalozi wa Tanzania Nje ya Nchi Waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Wa kwanza kushoto ni Balozi wa Tanzania Ubeligiji, Luxembourg na Jumuiya ya Ulaya Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala.
11 years ago
MichuziWANAMUZIKI WA TANZANIA WANAOWAKILISHA NJE YA NCHI …
Leo tuwatambue wakongwe na nguli wa muziki wa dansi nchini wakiwa mabalozi wetu nchini Japan wakiwa na kundi linaloitwa Tanzanite BandHawa ni Fresh Jumbe (mwimbaji, katikati), Abbu Omar (Solo Guitar, kulia) na Lister Elia (key board, kushoto).
Fresh Jumbe amepitia bendi kubwa sana nchini kama Dar International (Super Bomboka), JUWATA Jazz (Msondo Ngoma), DDC...
10 years ago
MichuziJE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
10 years ago
VijimamboSWAHILI BLUES BAND YA ANZA KUJIPATIA UMAARUFU NJE YA NCHI YA TANZANIA
Bendi ikikaribishwa rasmi na mwenyeji wao Dr Mulatu katika klabu ya African Jazz VillageLeo Mkanyia akihojiwa na moja ya redio ya Addis Ababa akiwa na Dr Mulatu
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...
5 years ago
MichuziMBOGAMBOGA NA MATUNDA KUPATA SOKO KATIKA NCHI ZA ULAYA
Mazao yaliyovutia wanunuzi na wadau wengine katika maonyesho hayo ni pamoja na parachichi, rasiberi, pasheni, ndimu zisizo na mbegu, njegere, snow...
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Siasa imevunja umoja, ikateua wachache kula matunda ya nchi
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Siasa ievunja umoja,ikateua wachache kula matunda ya nchi
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Walio nje ya nchi waonyeshe kwa vitendo watasaidia vipi nchi
TUMESHAZOEA maneno ya wanasiasa wanapopiga kampeni za kutafuta kuchaguliwa na wananchi. Wengi wao wanakuja na ahadi kemkem kama njia ya kutaka kuwavutia watu kuwa wao ndio wanafaa katika nafasi hiyo...