Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni

Mameya, wenyeviti wa halmashauri na madiwani nchini watalipwa jumla ya Sh51.95 za kiinua mgongo mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Waomba kulipwa kiinua mgongo kama madiwani

WAJUMBE wanaounda mabaraza ya miji midogo nchini, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa kiinua mgongo wanapomaliza muda wao, kama ilivyo kwa madiwani katika halmashauri za wilaya.

 

10 years ago

Habarileo

Kiinua mgongo cha wabunge kujadiliwa leo

Spika wa Bunge, Anna Makinda.KATIKA jitihada za kuhakikisha wabunge wa CCM na wachache wa upinzani walioko bungeni wanamsikiliza Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge leo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amelazimika kuliahirisha hadi leo asubuhi kujadili suala la kiinua mgongo chao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kina Warioba walipwa kiinua mgongo Sh640 mil

>Serikali imeanza kulipa kiinua mgongo kwa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Wariona na jumla ya Sh640 milioni zitalipwa kwa watu 32.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

 

5 years ago

Michuzi

BARAZA LA MADIWANI NYASA LAPITISHA BAJETI YA SH.BILIONI 24.5 MPANGO WA FEDHA 2020/21


Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mh. Altho Komba akizungumza katika kikao cha  Baraza la madiwani la Bajeti lililofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba Mbamba-bay wilayani hapa,kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Bw Bernad Semwaiko……………………………………………………………………………………….Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa  Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika...

 

9 years ago

Michuzi

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; DelhiNa Mwandishi Wetu,
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital

Dr Yash Gulati, Senior Spine and Joint Replacement Surgeon at Apollo Hospitals; Delhi.Na Mwandishi Wetu,

Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.

Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiwanda cha kahawa chatengewa Sh52 milioni

Zaidi ya Sh52 milioni zimetengwa kwa jili ya kutengeneza kiwanda cha kukoboa kahawa katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

 

11 years ago

Habarileo

Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaSERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani