Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni
Mameya, wenyeviti wa halmashauri na madiwani nchini watalipwa jumla ya Sh51.95 za kiinua mgongo mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Waomba kulipwa kiinua mgongo kama madiwani
WAJUMBE wanaounda mabaraza ya miji midogo nchini, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa kiinua mgongo wanapomaliza muda wao, kama ilivyo kwa madiwani katika halmashauri za wilaya.
10 years ago
Habarileo09 Jul
Kiinua mgongo cha wabunge kujadiliwa leo
KATIKA jitihada za kuhakikisha wabunge wa CCM na wachache wa upinzani walioko bungeni wanamsikiliza Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge leo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amelazimika kuliahirisha hadi leo asubuhi kujadili suala la kiinua mgongo chao.
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Kina Warioba walipwa kiinua mgongo Sh640 mil
9 years ago
Habarileo11 Oct
Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EcQxKwz9HbY/XlOlve9WnDI/AAAAAAALe_E/9A8vNd2zoL8d04DrCK5iIxB3k87rCZ5ZQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_7624AA-1024x682.jpg)
BARAZA LA MADIWANI NYASA LAPITISHA BAJETI YA SH.BILIONI 24.5 MPANGO WA FEDHA 2020/21
![](https://1.bp.blogspot.com/-EcQxKwz9HbY/XlOlve9WnDI/AAAAAAALe_E/9A8vNd2zoL8d04DrCK5iIxB3k87rCZ5ZQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_7624AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG_7579AA-1024x682.jpg)
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa mh. Altho Komba akizungumza katika kikao cha Baraza la madiwani la Bajeti lililofanyika katika Ukumbi wa Kepten John Komba Mbamba-bay wilayani hapa,kushoto na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Nyasa Bw Bernad Semwaiko……………………………………………………………………………………….Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma limepitisha Mpango na Bajeti ya TSh.bilioni 24.5 kwa ajili kutekeleza shughuli mbalimbali za Halmashauri zilizopangwa kufanyika...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Kiwanda cha kahawa chatengewa Sh52 milioni
11 years ago
Habarileo15 May
Mameya, wakurugenzi wakorofi kutimuliwa
SERIKALI imesema kuanzia sasa itawaondoa madarakani mameya, wenyeviti wa halmashauri na wakurugenzi katika halmashauri zitakazokumbwa na mgogoro.