Kina Warioba walipwa kiinua mgongo Sh640 mil
>Serikali imeanza kulipa kiinua mgongo kwa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Joseph Wariona na jumla ya Sh640 milioni zitalipwa kwa watu 32.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jul
Kiinua mgongo cha wabunge kujadiliwa leo
KATIKA jitihada za kuhakikisha wabunge wa CCM na wachache wa upinzani walioko bungeni wanamsikiliza Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge leo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amelazimika kuliahirisha hadi leo asubuhi kujadili suala la kiinua mgongo chao.
10 years ago
Habarileo08 Sep
Waomba kulipwa kiinua mgongo kama madiwani
WAJUMBE wanaounda mabaraza ya miji midogo nchini, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa kiinua mgongo wanapomaliza muda wao, kama ilivyo kwa madiwani katika halmashauri za wilaya.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Walipwa fidia ya mil 263/- kupisha ujenzi wa chuo
Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Singida, Hassanal Issaya akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kila siku.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO cha utumishi wa umma Tanzania tawi la mkoa wa Singida,limetumia shilingi 263 milioni kulipa fidia kwa wakazi wa kijiji cha Sasu kata ya Mungumaji manispaa ya Singida,ili waweze kupisha ujenzi wa chuo hicho mwaka wa fedha ujao.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa chuo hicho, Hassanal Issaya, wakati akizungumza na MOblog...
10 years ago
Mtanzania05 Nov
…Awataka kina Warioba waache biashara yao
![Jaji Joseph Warioba](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jaji-Warioba.jpg)
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU tatu baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kupigwa na watu waliodaiwa kuwa ni wafuasi wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amewaonya watu na vikundi vinavyoanza kufanya kampeni dhidi ya Katiba inayopendekezwa akisema muda wa kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria haujafika.
Mdahalo wa kujadili katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere ulivunjika mwishoni mwa...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
HABARI KWA KINA VURUGU ALIYOFANYIWA JAJI WARIOBA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-lJlLQivegVQ%2FVFaRAOyHVaI%2FAAAAAAADMEs%2F8EvkaBWtMjY%2Fs1600%2Fa3dddd0632c0910e452897e99fb543b3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, jana alifanyiwa vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa kongamano la kujadili mambo ya msingi ya kuangaliwa katika Katiba inayopendekezwa.
Kongamano hilo liliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF) na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-
SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...