…Awataka kina Warioba waache biashara yao
Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU tatu baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kupigwa na watu waliodaiwa kuwa ni wafuasi wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amewaonya watu na vikundi vinavyoanza kufanya kampeni dhidi ya Katiba inayopendekezwa akisema muda wa kufanya hivyo kwa mujibu wa sheria haujafika.
Mdahalo wa kujadili katiba inayopendekezwa ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere ulivunjika mwishoni mwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili01 Oct
Buhari awataka raia Nigeria waache utundu
10 years ago
Habarileo21 Jun
Warioba asema watangaza nia waache kujitangazia uadilifu
ALIYEKUWA Waziri Mkuu, Jaji Joseph Warioba ametaka watangaza nia kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao, kuacha kusema wao ni waadilifu, badala yake wasubiri wananchi waseme kwa kuwa wanawafahamu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s72-c/u10.jpg)
Rais Kikwete azindua mradi mkubwa wa maji morogoro, awataka viongozi waache woga katika kusimamia sheria
![](http://2.bp.blogspot.com/-bLf6taEHR2E/U_hU9fhazgI/AAAAAAAGBnU/_nRKy3-KaYE/s1600/u10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DizsFs4igeI/U_hVYYbxHcI/AAAAAAAGBnc/m09Z4afSpJw/s1600/u12.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP2mKrWAGnM/U_hXrlAE8iI/AAAAAAAGBpc/18UkHjE6C-A/s1600/u26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kPm-iNPMWIs/U_hX3W0HFPI/AAAAAAAGBps/G5uVS_t2grM/s1600/u27.jpg)
10 years ago
Vijimambo03 Nov
HABARI KWA KINA VURUGU ALIYOFANYIWA JAJI WARIOBA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-lJlLQivegVQ%2FVFaRAOyHVaI%2FAAAAAAADMEs%2F8EvkaBWtMjY%2Fs1600%2Fa3dddd0632c0910e452897e99fb543b3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, jana alifanyiwa vurugu kubwa zilizosababisha kuvunjika kwa kongamano la kujadili mambo ya msingi ya kuangaliwa katika Katiba inayopendekezwa.
Kongamano hilo liliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF) na...
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Kina Warioba walipwa kiinua mgongo Sh640 mil
10 years ago
Mtanzania13 Feb
Msajili awapa kina Zitto ACT yao
![Zitto Kabwe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Zitto-Kabwe-300x204.jpg)
Zitto Kabwe
NA MICHAEL SARUNGI, DAR ES SALAAM
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imebariki mabadiliko ya uongozi yaliyowasilishwa na Katibu Mkuu wa muda wa chama cha ACT-Tanzania, Samson Mwigamba na Kaimu Mwenyekiti wake, Shaaban Mambo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya viongozi wa chama hicho kutuhumiana hadharani kuwa kila mmoja anakivuruga chama na kusababisha Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuingilia kati.
Chama hicho kwa muda mrefu kimekuwa...
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Warioba awataka JK, Dk Shein kuchukua hatua kunusuru Katiba
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kassim awataka wasanii kuipenda nchi yao
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Kassim Mganga, amesema hoja ya wasanii kwenda nje ya nchi kufanya kazi zao kwa kigezo cha kutafuta mazingira tofauti ni hoja dhaifu, kwa sababu Tanzania kuna mazingira mazuri ambayo huwezi kuyapata popote pale.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kassim alisema Waafrika hivi sasa wamebadilika wanataka kuona mazingira yao yakitangazwa kama vile visiwa, milima na pwani mbalimbali ndiyo maana video ya Nasema nawe wimbo wa Diamond...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fH3tnKcfvFc/XkbSQyYWlSI/AAAAAAALdcU/_YIoA7vjzRMHoFhf4PP9uyGus_d2WAR9gCLcBGAsYHQ/s72-c/e5b03401-1cee-4429-a2e6-0d7777dae39f.jpg)
DC TANDAHIMBA AWATAKA WAKULIMA WALIOKOPA PEMBEJEO KULIPA MADENI YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fH3tnKcfvFc/XkbSQyYWlSI/AAAAAAALdcU/_YIoA7vjzRMHoFhf4PP9uyGus_d2WAR9gCLcBGAsYHQ/s640/e5b03401-1cee-4429-a2e6-0d7777dae39f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tqdyI3wq5mI/XkbSQiUpMtI/AAAAAAALdcM/Yd-YzreWKNk8FMnJiM2bgR-wSNajFMqLgCLcBGAsYHQ/s640/3a51d6e8-501d-4a21-873c-bbec606fc16a.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--1zFA8puo5M/XkbSQ_QpXsI/AAAAAAALdcQ/3K9Ytu0HoPIMNLooiVURTRUJ9XuQeiR3ACLcBGAsYHQ/s640/059c28bf-25b9-4fc0-b599-3a6e95910586.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amewataka wakulima waliokopa pembejeo kulipa madeni hayo ili waweze kukopeshwa Tena katika msimu mpya
Hayo ameyasema wakati akijibu swali la mkazi wa Mikuyuni kata ya Nambahu Mkalavachi Mkalavachi kwenye muendelezo wa ziara...