Kiinua mgongo cha wabunge kujadiliwa leo
KATIKA jitihada za kuhakikisha wabunge wa CCM na wachache wa upinzani walioko bungeni wanamsikiliza Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge leo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai amelazimika kuliahirisha hadi leo asubuhi kujadili suala la kiinua mgongo chao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo08 Sep
Waomba kulipwa kiinua mgongo kama madiwani
WAJUMBE wanaounda mabaraza ya miji midogo nchini, wameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuwalipa kiinua mgongo wanapomaliza muda wao, kama ilivyo kwa madiwani katika halmashauri za wilaya.
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Kina Warioba walipwa kiinua mgongo Sh640 mil
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tEMpU1ssNco/VDjKnbkAVqI/AAAAAAAGpFA/qxgN7bmRnIA/s72-c/TANZANIA-%2BFGM.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s72-c/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-RvNLxSBXIFc/VDlLyZUqDOI/AAAAAAADJWY/KLG7L51fHig/s1600/Anna%2BMarcus%2Bof%2BBTS-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--ZCNixsFyxs/VDlL2T_0aII/AAAAAAADJXI/ObQebd9fUDg/s1600/cape%2Band%2BAnne%2BMarie%2B-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-j3du32tnQ1A/VDlLy04hYMI/AAAAAAADJWc/er1imIBnrmY/s1600/Janet%2BChapman%2Band%2BJonathan%2BPace%2Bof%2BTDTF-%2Bpic%2Bby%2BF%2BMacha%2B2014.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo – Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4QW4oBbZUs/VoJh2eNL2vI/AAAAAAAAIfA/BmWbFFzxq8U/s1600/Dr%2B-Yash-Gulati.jpg)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia.
Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Afya ya Uti wa Mgongo ni Afya ya Mgongo - Dk. Yash Gulati, Apollo Hospital
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWGUNuUYITA/VoKUl3RKkXI/AAAAAAAIPOQ/5nG5CRlWA4I/s400/Screen%2BShot%2B2015-12-29%2Bat%2B5.07.57%2BPM.png)
Maendeleo katika njia za ufanyaji kazi pamoja na matumizi ya teknolojia yanavyokuwa kwa kasi yanaweza kutufanya tuamini tumepunguza maumivu katika viungo vyetu vya mwili ila si hivyo. Tunatumia magari, mitandao mbalimbali ambayo vizazi vilivyopita havijawahi kuota kutumia. Mabadiliko haya mapya katika maisha yetu yenye msisitizo mdogo katika uimarishaji wa viungo umechukua hatamu na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s72-c/unnamed%2B(84).jpg)
Maadhimisho ya siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na mgongo wazi duniani yafanyika leo jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3uRP5vH3Nw/VEvTPd-wOsI/AAAAAAAGtX8/DwJwOsJGljo/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-14CSpDCHKPE/VEvTQL1ZBwI/AAAAAAAGtYU/cuSwBhMRYxg/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
11 years ago
Dewji Blog19 Jul
TWB na TWA wafanya mafunzo kituo cha kinamama wenye Watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa Ubongo na Mgongo wazi Chawawaki Kigamboni
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) Bi. Margaret Chacha akizungumza na kikundi cha kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa mtindio wa ubongo na mgongo wazi kituo cha kigamboni(Chawawaki), wakati ya mafunzo ya ujasiriamali na kuwaelimisha juu ya fursa zinazotolewa na benki ya TWB, Mafunzo hayo yaliandaliwa na Taasisi ya Tanzania Women Of Achievement (TWA).
Mwenyekiti wa Tanzania Women Of Achievement(TWA) Bi.Sadaka Gandi akizungumza na kinamama wenye watoto wenye ugonjwa wa...