Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya kufukua maiti yaanza

 Ushahidi wa pande zote mbili katika kesi ya kufukuliwa maiti ya marehemu Steven Lawrence Assey, juzi ulianza kutolewa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wachaga wa Kilema na mila ya kufukua maiti

Ni jambo linaloweza kuwa geni kidogo kwa baadhi ya makabila, lakini kwa baadhi ya Wachaga wa Kilema mkoani Kilimanjaro kuna mila ambazo kwa makabila na jamii nyingine zinaweza kuwa za kushangaza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya kugombea maiti yapigwa kalenda

MKE wa pili wa marehemu ,Stephen Assei (52) ,Fortunata Lyimo ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, kumpatia siku 14 kwa ajili ya kutafuta wakili atakayemsaidia katika kesi ya kugombea maiti....

 

11 years ago

GPL

KESI YA FAMILIA YA MISS TZ KUGOMBEA MAITI: MAMA WA MAREHEMU AIBUKA KIDEDEA

Miss Tanzania 1999, Hoyce Nambuo Temu akiwasili katika Viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Temeke akiongozana na Mama wa marehemu Emmanuel, Hilda Lewi Nambuo. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC) Dkt. Helen Kijo Bisimba akiongea jambo na Hoyce Temu.…

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma


NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Habre yaanza leo

Kesi inayomkabili aliyekuwa rais wa Chad, Hissène Habré dhidi ya uhalifu wa binadamu, kivita na mateso, inaanza kusikilizwa leo

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya mshukiwa wa Rwanda yaanza Ufaransa

Kesi dhidi ya aliyekuwa afisaa wa Jeshi nchini Rwanda, Kapteni Pascal Simbikangwa aliyeshitakiwa kwa kosa la kuhusika na mauaji ya kimbare mwaka 1994 itasikilizwa leo Ufaransa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya MCL na IPTL yaanza kutajwa

Kesi ya madai inayoikabili kampuni ya Mwananchi Communications Ltd iliyofunguliwa na kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imeanza kutajwa katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Liz yaanza kusikilizwa Kenya

Mshukiwa wa ubakaji aliyekuwa miongoni mwa genge la watu waliombaka Liz na kumtupa ndani ya shimo, inaanza kusikilizwa leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Rita Jeptoo yaanza kusikilizwa

Kesi ya matumizi ya dawa za kuongeza nguvu ya bingwa mara tatu wa Boston Marathon Rita Jeptoo wa Kenya imeanza leo hii mjini Nairobi lakini chama cha riadha kimesema hakitatangaza hukumu ya Jeptoo hadi wiki ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani