Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachaga wa Kilema na mila ya kufukua maiti

Ni jambo linaloweza kuwa geni kidogo kwa baadhi ya makabila, lakini kwa baadhi ya Wachaga wa Kilema mkoani Kilimanjaro kuna mila ambazo kwa makabila na jamii nyingine zinaweza kuwa za kushangaza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya kufukua maiti yaanza

 Ushahidi wa pande zote mbili katika kesi ya kufukuliwa maiti ya marehemu Steven Lawrence Assey, juzi ulianza kutolewa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kortini kwa kufukua kaburi

MKAZI wa Kijiji cha Ikola, wilayani Mpanda, Richard Clavery (34), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda akikabiliwa na tuhuma za kufukua kaburi. Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Chiganga Ntengwa,...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Rama Dee — Usihofie Wachaga

Wimbo mpya kutoka kwa mkali wa RnB nchini, Rama Dee uitwao, ‘Usihofie Wachaga’. Wimbo huu umetayarishwa na Elly Da Bway aliyetengeneza wimbo wake ‘Kama Huwezi’ aliomshirikisha Lady Jaydee. Akizungumzia maana ya wimbo wake huo mpya, Rama amedai kuwa unahusiana na ile imani iliyojengeka kwa baadhi ya wanaume wa Tanzania kuwa wanawake wa kichaga wanapenda pesa […]

 

10 years ago

Vijimambo

Wachaga Wamegawanyika Kama ifuatavyo, Sio Wote ni Wajanja!


Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-1. Warombo wajanja sana kibiashara/wezi pia, wameajiri Wamarangu mjini ni walevi sana hupeleka wake zao vijijini wakileta kiburi mjini. Wanawake zao ni mama Huruma, wanaachia tu.. Ukioa mrombo ujue umeolea kijiji.
2. Kuna Wamarangu wazuri sana wa sura na umbo wanawachuna Warombo. Wanawake wana dharau sana na wanaume ni waoga kuliko wanawake. Mwanaume wa Marangu kupigwa na mkewe si jambo la ajabu.
3. Kuna Wakibosho wanafanana na...

 

10 years ago

Daily News

Thugs steal valuables from RC church in Kilema


Thugs steal valuables from RC church in Kilema
Daily News
THUGS have broken into the Saint Bernadette Church at the Kilema Parh of the Roman Catholic Church in Moshi Rural Dtrict, Kilimanjaro Region, making away with various items worth millions of shillings. Th the first church, which was built by early ...

 

10 years ago

Daily News

Sacred items stolen from Kilema RC mission found


Sacred items stolen from Kilema RC mission found
Daily News
SOME of the Sacred instruments which were stolen from Saint Bernadette Catholic Church - Kilema Parish in Moshi Rural District, Kilimanjaro Region, late last year have been recovered. In a telephone interview from Kilema on Tuesday, the Priest-in- Charge ...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi wavunja Kanisa Katoliki Kilema, wapora

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Geofrey Kamwela KUNDI la watu wanaodhaniwa ni majambazi, wamevamia na kupora fedha taslimu na vitu mbalimbali katika Kanisa Katoliki la Kilema, Jimbo la Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro.

 

10 years ago

Michuzi

MISS TANZANIA WATOA MSAADA HOSPITALI YA KILEMA NA MARANGU MOSHI

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro. Warembo waiangalia watoto. picha ya pamoja ya warembo na wenyeji Hospitali ya Kilema Moshi.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Dewji Blog

Washiriki wa Miss Tanzania 2014 watoa msaada hospitali ya Kilema na Marangu Moshi

Washiriki wa Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 walitoa misaada ya kijamii katika Hospitali za Misheni Kilema na ile ya K.K.K.T Marangu baada ya kutembelea Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro.

FKB_0181

Mwakilishi wa Kanda ya Ziwa katika Shindano la Redds Miss Tanzania 2014 Dorine Robert akimpa zawadi ya chandarua mgonjwa Jamila Msafiri aliyelazwa katika Hospitali ya Kilema Wilaya ya Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro jana ambapo warembo 30 wa Miss Tanzania walitoa msaaada mbalimbali ya kijamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani