Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kortini kwa kufukua kaburi

MKAZI wa Kijiji cha Ikola, wilayani Mpanda, Richard Clavery (34), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda akikabiliwa na tuhuma za kufukua kaburi. Mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Chiganga Ntengwa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya kufukua maiti yaanza

 Ushahidi wa pande zote mbili katika kesi ya kufukuliwa maiti ya marehemu Steven Lawrence Assey, juzi ulianza kutolewa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachaga wa Kilema na mila ya kufukua maiti

Ni jambo linaloweza kuwa geni kidogo kwa baadhi ya makabila, lakini kwa baadhi ya Wachaga wa Kilema mkoani Kilimanjaro kuna mila ambazo kwa makabila na jamii nyingine zinaweza kuwa za kushangaza.

 

9 years ago

Mtanzania

Kortini kwa kuingia nyumbani kwa Mzee Mwinyi

mwinyi1bcNA MANENO SELANYIKA, DAR ES SALAAM

MKAZI wa Ilala Mtaa wa Lindi, Hafidhi Ally (23), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kuvamia kisha kuingia nyumbani kwa Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

Mbele ya Hakimu Ester Kihiyo, karani wa mahakama hiyo, Mosses Mchome, alidai kwamba mtuhumiwa alifanya kosa hilo Desemba 10, mwaka huu saa 7:30 usiku nyumbani kwa Mzee Mwinyi,  Mikocheni B, Dar es Salaam.

Karani Mchome aliiambia mahakama hiyo kwamba, Hafidhi...

 

10 years ago

Michuzi

150 KORTINI KWA KUJIANDIKISHA MARA MBILI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGAKURA KWA MFUMO MPYA BVR

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema watu 152 watafikishwa mahakamani mkoani Njombe kutokana na kujiandikisha mara mbili katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa mfumo mpya wa ‘Biometric Voter Registration Kit’ (BVR).
Aidha, imeeleza kuwa kata 130 zimeongezeka kutokana na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kufanya mabadiliko ya kiutawala katika kata, vijiji,vitongoji na Mitaa hivyo kulazimu NEC kuhairisha kwa wiki moja uandikishaji wa daftari uliokuwa ukianza jana kwa baadhi...

 

5 years ago

Michuzi

RAIA WAWILI WA CHINA WAFIKISHWA KORTINI KWA TUHUMA ZA KUTOA RUSHWA YA MILIONI 11.5 KWA KAMISHNA MKUU WA TRA

 Na Karama Kenyunko, Globu ya jamii
RAIA wa wawili wa China wanaoishi Mkoa Iringa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shitaka la kutoa rushwa ya Sh. Milioni 11.5 kwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)Dk. Edwin Mhede.

Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU ) Mwakatobe Mshana imewataja washtakiwa hao kuwa ni Heng Rongnan (50) na Ou Ya (47) wote wakazi wa Kinyambo ...

 

11 years ago

Habarileo

17 kortini kwa ugaidi

Watuhumiwa wa kujihusisha na vitendo vya kigaidi wakiwa chini ya ulinzi wa Polisi walipofikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kusomewa mashitaka yao jana. (Picha na Mroki Mroki).WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi.

 

11 years ago

Habarileo

Bodaboda 37 kortini kwa vurugu

WAENDESHA bodaboda 37, juzi walifikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Mbeya mjini wakituhumiwa kufanya vurugu asubuhi ya siku hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kortini kwa kusafirisha mirungi

Watu watatu wakiwamo madereva wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) jana walifikishwa mahakamani wakituhumiwa kusafirisha dawa za kulevya aina ya mirungi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Watu 17 kortini kwa ugaidi


NA MWANDISHI WETU
WATU 17 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kula njama za kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi na kusaidia na kuwezesha kufanyika.
Jihad Swalehe, mmoja wa washitakiwa waliofikishwa mahakamani hapo jana saa 7.20 mchana chini ya ulinzi mkali wa polisi, alisomewa mashitaka peke yake ya kula njama za kusaidia na kuwezesha kufanyika vitendo vya kigaidi.
Washitakiwa wengine ni wanaohusika na mashitaka ya kula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani