Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madabida: Hatutoi mafunzo kujipendekeza

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amesema kitendo cha kutoa mafunzo kwa viongozi mbalimbali wa chama hicho sio kujipendekeza bali ni utekelezaji wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Wolper akiri kujipendekeza kwa Diamond, Zari

JacklineWolper1Staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’.

Imelda mtema
BAADA ya kupata wakati mgumu wa kushambuliwa na maneno kila akiweka picha mtandaoni ya Diamond ama Zari, staa wa filamu Bongo, Jacqueline Walper ‘Wolper’ ameweka wazi kwa kuwajibu, haoni tatizo kujipendekeza kwa hao watu.

Akichezesha taya na Amani, Wolper alisema kuwa, ilifika kipindi katika ukurasa wake wa Instagram watu wengi walikuwa wakimshambulia kwa maneno na kufikia hadi hatua ya kumtukana.

“Kiukweli mimi ni binadamu,...

 

11 years ago

IPPmedia

Madabida, five others in court over fake drugs


IPPmedia
Madabida, five others in court over fake drugs
IPPmedia
Tanzania Pharmaceutical Industries Ltd CEO Ramadhan Madabida (L) and others seated at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. The Chief Executive Officer for Pharmaceutical Industries Limited Ramadhani Madabida and five ...
Five in court over fake ARVsDaily News

all 2

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma


NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika

UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...

 

11 years ago

IPPmedia

Madabida's partners in crime released on bail


IPPmedia
Madabida's partners in crime released on bail
IPPmedia
Four persons who are being charged with five counts including supplying counterfeit drugs along with the Pharmaceutical Industries Limited Chief Executive Officer, Ramadhani Madabida were yesterday released on bail after meeting set bail conditions.
Accused for fake ARVs bailed outDaily News

all 3

 

10 years ago

Mwananchi

Madabida: Sina kambi, wanaohangaika hawajielewi

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida amesema yeye hayumo kwenye  kambi yoyote ya wanaharakati wanaowania urais ndani ya CCM na kusisitiza kuwa kambi yake ni moja tu CCM.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo

KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madabida kizimbani kwa ARVs ‘feki’

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani...

 

10 years ago

Mtanzania

Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi

Ramadhani-MadabidaRuth Mnkeni, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani