Madabida: Sina kambi, wanaohangaika hawajielewi
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida amesema yeye hayumo kwenye  kambi yoyote ya wanaharakati wanaowania urais ndani ya CCM na kusisitiza kuwa kambi yake ni moja tu CCM.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
IPPmedia11 Feb
Madabida, five others in court over fake drugs
IPPmedia
IPPmedia
Tanzania Pharmaceutical Industries Ltd CEO Ramadhan Madabida (L) and others seated at Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam yesterday. The Chief Executive Officer for Pharmaceutical Industries Limited Ramadhani Madabida and five ...
Five in court over fake ARVsDaily News
all 2
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Madabida: Hatutoi mafunzo kujipendekeza
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, amesema kitendo cha kutoa mafunzo kwa viongozi mbalimbali wa chama hicho sio kujipendekeza bali ni utekelezaji wa...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Kesi ya Madabida yaanza kuunguruma
NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeelezwa kuwa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), ilikagua na kugundua dawa za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) zilizotengenezwa na Kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd (TPL), kinachomilikiwa na Ramadhani Madabida kuwa ni bandia.
Hayo yalidaiwa jana na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Osward Tibabyekomya, mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba, wakati akiwasomea maelezo ya awali Madabida na wenzake.
Madabida, ambaye ni Ofisa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...
11 years ago
IPPmedia13 Feb
Madabida's partners in crime released on bail
IPPmedia
IPPmedia
Four persons who are being charged with five counts including supplying counterfeit drugs along with the Pharmaceutical Industries Limited Chief Executive Officer, Ramadhani Madabida were yesterday released on bail after meeting set bail conditions.
Accused for fake ARVs bailed outDaily News
all 3
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kesi ya Madabida, wenzake kutajwa leo
KESI ya kusambaza dawa bandia za kupunguza makali ya Ukimwi (ARVs) inayomkabili Ofisa Mtendaji Mkuu wa kiwanda cha Tanzania Pharmacentical Ltd ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, inatajwa leo. Kesi hiyo inatajwa mbele ya Hakimu Mkazi, Nyigulila Mwaseba wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ili kuangalia kama upelelezi umekamilika au la!.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Madabida kizimbani kwa ARVs ‘feki’
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP), Dk. Eliezer Feleshi, amemfikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani...
10 years ago
Mtanzania02 May
Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi
Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Mr6R9jjkHSA/VCeiSgf8-nI/AAAAAAACrvg/Ggix8YHYzV8/s72-c/FSA_3515.jpg)
MADABIDA AFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA WAZAZI WILAYA YA ILALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mr6R9jjkHSA/VCeiSgf8-nI/AAAAAAACrvg/Ggix8YHYzV8/s1600/FSA_3515.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ALt7e9crpQ4/VCeiTe4Cb8I/AAAAAAACrvo/nz0ONxI4n0A/s1600/FSA_3517.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PZepfTFzec8/VCeiRKcUgCI/AAAAAAACrvY/FdpRh6W36UU/s1600/FSA_3512.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TbtM0J2rmco/VCeiPptZCeI/AAAAAAACrvM/HyIuhu_l-24/s1600/FSA_3503.jpg)