ARVs zadoda, wagonjwa walienda kwa 'Babu'
BUNGE jana lilipitisha Azimio la kufuta na kusamehe madai au hasara itokanayo na upotevu wa fedha na vifaa vya Serikali inayofikia Sh bilioni 10. Azimio hilo ambalo liliwasilishwa bungeni wiki iliyopita, lilipitishwa jana baada ya Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba na Waziri wake, Saada Mkuya Salum kujibu baadhi ya hoja za wabunge.
habarileo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania