ARV’S; DAWA ZA KUREFUSHA MAISHA YA WAATHIRIKA WA UKIMWI
![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5LjwxS1NwTKf*7kHIonWJl0OzNp1JjDF9nqBV1KGb6Hk-a2g9OsBl4*pPtnHWhiSMDYsoe-D0wTk*maV0UMvU9/ARVs.jpg?width=650)
BAADA ya kuchambua kwa kina magonjwa nyemelezi katika matoleo yetu matatu yaliyopita ya gazeti hili leo tuangalie dawa za kurefusha maisha ambayo kitaalamu huitwa antiretroviral therapy kifupi ARVs. Dawa hii hupigana dhidi ya virusi vinavyosababisha Ukimwi. Madawa haya huwasaidia wale walio na virusi hivi kukaa katika afya nzuri. Aina nyingine ya madawa haya ni Protease Inhibitors, hii huzingira virusi na kuvizuia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi10 Feb
news alert: watano wapanda kizimbani kwa mashtaka ya usambazaji wa Dawa feki za kurefusha maisha kwa waathirika wa Ukimwi
11 years ago
Mwananchi01 Aug
MKUTANO WA UKIMWI 2014: ARV zinaweza kuangamiza VVU duniani bila haja ya dawa, chanjo
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Historia ya Ukimwi na ugunduzi wa ARV - 4
10 years ago
BBCSwahili09 Jun
Watoto kunufaika na dawa mpya za ARV
11 years ago
Mwananchi31 May
Matumizi ya ARV, pombe yanavyohatarisha maisha
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Vijana 1,526 waathirika na dawa za kulevya Dar
JUMLA ya vijana 1,526 mkoani Dar es Salaam wanapatiwa huduma ya matibabu yaliyotokana na athari za matumizi ya dawa za kulevya. Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Uchukuzi, Dk....
10 years ago
StarTV07 Jan
Vijana waathirika dawa za kulevya Arusha waomba msaada
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Makundi ya vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wameathirika na dawa za kulevya jijini Arusha yameiomba Serikali na wadau wengine wawasaidie kuwapatia matibabu ya afya zao.
Hatua hii itawawezesha kuondokana na maradhi nyemelezi ambayo yanawasababishia vifo baada ya kinga za miili yao kudhoofika.
comprar kamagra baratoKatika zoezi la kuyashawishi makundi ya vijana yaweze kuondoka mitaani na kwenda kuishi kwenye vituo rasmi ili kupatiwa elimu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W3**pg5he8M5qOUz4OPMPEGpP*QAR3Z8Jc9IdvY91OTNptGpxElPfWgDBa4oWeieuSZIjYyHJ*hIjRT*YfsLeXn/dawa.jpg)
DAWA YA UKIMWI HIYOOO
10 years ago
Habarileo26 Mar
NIMR yatengeneza dawa ya Ukimwi
TAASISI ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imetengeneza dawa za asili zilizoboreshwa kwa ajili ya tiba kwa magonjwa mbalimbali, ikiwemo Ukimwi baada ya kuzifanyia utafiti kubaini uwezo na usalama wake.