Wizara kutafiti zao la minazi
SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imesema imeanzisha ushirikiano na nchi ya Sri-Lanka ambayo yapo katika hatua za mwisho ili kuingia makubaliano katika utafiti wa zao la minazi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
Tanzania, Sri Lanka kutafiti pamoja minazi
SERIKALI iko katika hatua mwisho ili kuingia makubaliano ya ushirikiano (MoU) na Sri Lanka katika utafiti wa zao la minazi kwa kuzingatia kuwa nchi hiyo imepiga hatua katika utafiti wa magonjwa ya minazi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
WAZIRI CHIKAWE, HAJI WA SMZ WAONGOZA MKUTANO WA USHIRIKIANO WA WIZARA ZAO JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-_MYStguh6B0/VImM6srLoWI/AAAAAAAG2hg/mQwF7wUGAyk/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-dYoJmZSigYg/VImM6quJgHI/AAAAAAAG2hc/x-Wb_QG97Bw/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Tume kutafiti kasoro sheria za walaji
TUME ya Marekebisho ya Sheria nchini imeanza kufanya utafiti katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji, ili kubaini kasoro zilizoko kwenye mfumo husika kwa sasa. Akizungumza na...
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ni vema kutafiti kabla kuwadharau wasanii
WIKI iliyopita kwenye gazeti hili (la Raia Mwema) kulikuwa na makala yenye kichwa: “Baraza jipya
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo05 Dec
NHC, IET kutafiti gharama za nyumba
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu amesema wanajiandaa kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET), kufanya utafiti ili kupata majawabu ya kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba nchini, kuwezesha mwananchi wa kawaida kumiliki nyumba bora kwa bei nafuu.
9 years ago
Habarileo19 Nov
Watakiwa kutafiti magonjwa na kushauri tiba bora
WATAALAMU wa sekta ya afya nchini wameshauriwa kutumia taaluma yao kutafiti visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii na kuleta majibu ya jinsi ya kutokomeza vimelea vya magonjwa hayo.
10 years ago
Habarileo08 Dec
Vyuo vikuu Mzumbe,Tampere kutafiti maisha ya kaya
CHUO Kikuu Mzumbe kimeanzisha ushirikiano na Chuo Kikuu cha Tampere cha nchini Finland kufanya utafiti utakaosaidia kujenga uwezo na hali bora ya maisha katika kaya nchini Tanzania.
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO