Picha:TBT ya Wema Akiwa na ‘Girlzz’ Wake
Leo ikiwa ni ile siku ya mitupo ya nyuma yaani ThrowBackThursday ambapo watu hutupia picha zao za zamani kwenye mtandao wa Instagram, Staa mrembo Wema Sepetu ametupia picha hiyo akiwa na mastaa warembo wenzake, Jackline Wolper na Irene Uwoya.
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Oct
Picha: Mashabiki wamshambulia Nonini baada ya kupost picha ya ‘tbt’ akiwa kwenye pozi za kimahaba na Wahu
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
PICHA: Timbwili Mitandaoni, Diamond Akiwa na Zari Huku Wema Akiwa na Ommy
Kweli mafahari wikigombana nyasi ndio uumia! Picha za mwanamziki Diamond akiwa na mpenzi wake Zari wakiwa ndani ya gari alizoziweka mtandao usiku wa kuamkia leo siku ya wapendanao na kuandika kwa maneno ya lugha ya kingreza kuwa wanaelekea siku ya Valentine “Road to Valentine...”
Zilizua timbwili la maneno miongoni mwa mashabiki wa Diamond ambao walikuwa wakisifia “Project hii” na wale wa Wema aka TeamWema walikuwa wakiponda na kumshabulia sana mwanadada Zari ikiwemo kumuiga mtindo wa...
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Picha: Wema Sepetu Akiwa na Idris Wakifanya ‘Shopping‘
Hizi ni baadhi ya picha za Staa mrembo kutoka Bongo Movies , Wema Sepetu akiwa pamoja na mshindi wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakifanya manunuzi kwenye moja ya supermarket hapo bongo.
Wawili hawa wameonekana kuwa ni watu wa karibu sana sio tu kwa muonekano wa picha hizi bali hata kwa maneno ya wema wenyewe, kwani kwenye picha hiyo hapo juu Wema aliandika maneno haya;
“Feels good wen you go to a store and u get everything u can think of.... Oh it feels better...
9 years ago
Bongo Movies19 Sep
Picha: Wema Sepetu Akiwa na Team ya ‘Mama Ongea na Mwanao’
Hizi ni baadhi ya picha za mastaa wa bongo movies wanaokiunga mkono chama cha mapinduzi na kushiriki katika kwampeni za chama hicho kupitia kampeni yao ya MAMA ONGEA NA MWANAO.
“Dah Tunashinda kwa Kishindo kikubwa mjue.. John Pombe Magufuli na Mama Samia mpaka Ikulu....”-Wema aliandika kwenye moja ya picha hizo hapo juu.
10 years ago
Bongo Movies24 Jul
Picha: Wema Sepetu Akiwa Kwenye Harakati za Ubunge Huko Singida
Hizi ni baadhi ya picha za staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu zinazo ‘trend’ leo hii mtandaoni kwa hapa bongo zikimuonyesha staa huyu aliyetitos kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum kupitia chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Singida.
Kila la Kheri Madam
10 years ago
CloudsFM22 Dec
10 years ago
Bongo Movies03 Apr
Picha: JB Akiwa Nyumbani Kwao kwa Mzee Wake
Leo ikiwa ni siku ya Ijumaa kuu, Staa mkubwa kabisa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ame-share nasi picha hizi akiwa nyumbani kabisa kwa mzee wake.
Katika maelezo yake JB amesema kuwa siku kama ya leo huwa wanautaratibu kama familia kwenda kanisani pamoja.
“Leo niko nyumbani kwa mzee, Ijumaa ya pasaka tuna utaratibu wa kwenda kanisani wote” JB aliandika mara baada ya kubandika picha huyo hap juu akiwa na mzee wake.
Picha huyo nyingine JB alieleza kuwa huyo ni mdogo wao wa mwisho...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish Ndikumana…
Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE
10 years ago
Bongo Movies05 May
Shilole Aapa Kutopiga Picha Za Faragha Akiwa na Mpenzi Wake
Staa wa Bongo movies na Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amesema kuwa hatapiga tena picha akiwa faragha na mchumba wake Nuh Mziwanda kwani zimekuwa zikivuja bila yeye kujua na kusababisha adhaulike kwenye jamii.
Akizungumza na gazeti la Tanuru la Filamu, Shilole alisema alikuwa akifanya hivyo ili badaye akiwa yuko mbali na mpenzi wake apate kuangalia jinsi walivyokuwa wakifurahishana lakini mambo hubadilika zikivuja na hivyo kuwa kwaza mashabiki wake ambao wanaheshimu sanaa...