Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish Ndikumana…
Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jan
Picha:Kumbe Irene Uwoya ni Mdau wa “Vibanda Umiza”
Mrembo na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya leo wamewashangaza mashabiki wake wengi kwa kuonekana maeneo ya uswazi akiandika bango la mechi za mpira wa miguu zitakazo onyeshwa leo kwenye moja ya kibanda umuzi uswahili hapo.
Wengi wamempongeza kwa kijichanganya maeneo kama hayo kwani mastaa wengi wa hapa bongo japokuwa wengi wametokea uswazi lakini huwa hawapendi kijichanganya baada ya kupata majina au kuhama mitaa ya uswazi.
Kwa upande wangu hii imekaa poa sana kwani huko ndiko...
10 years ago
Bongo Movies06 Apr
Picha: Mtoko wa Pasaka wa Irene Uwoya Huko Mwanza
Hizi ni baadhi ya picha ambazo staa mrembo Irene Uwoya ame-share nasi kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram akiwa jijini Mwanza ambako amekwenda kikazi zaidi.
Huu ndio ulikuwa mtoko wake wa sikukuu ya PASAKA hapo jana. Mbali ya picha hizi kusababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS huko Instagram, Sio mbaya nawewe hapa kama mdau ukasafisha macho na picha hizi na kufunguka chochote kuhusu mtoko huu wa mrembo huyu ambae anatajwa kama ni mmoja kati waigizaji wa rembo zaidi hapa...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jarida La Vibe Tz
Jarida la maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz lililotoka hivi karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya amabe ni mrembo aliebarikiwa suru na umbo matata bila kusahau rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.
Japokuwa kuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.
Irene...
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jariba La Vibe Tz
Jarida la maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz lililotoka hivi karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya amabe ni mrembo aliebarikiwa suru na umbo matata bila kusahau rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.
Japokuwa kuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.
Irene...
10 years ago
Bongo Movies20 Jul
Picha: Irene Uwoya Akichukua Fomu, Viti Maalum Tabora
Haya kamanda UWOYA anaonekana akichukua fomu ya kuwania viti maalum vya ubunge huko tabora kwa tiketi ya CCM ,
twakutakia mafanikio mema katika safari yako ya kwenda kwa kuwatumikia wanamchi wa TABORA bungeni watanzania wanajua uwezo wako na wanakusubilia jumba jeupe tu pale pale wanapopalilia wengi kwenda
William Mtitu on Instagram
10 years ago
Bongo Movies03 Jun
Nani Huyu Anayemtibulia Uwoya kwa Baba Mtoto Wake?!, Soma Alichokieleza
UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja...
9 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Picha:TBT ya Wema Akiwa na ‘Girlzz’ Wake
Leo ikiwa ni ile siku ya mitupo ya nyuma yaani ThrowBackThursday ambapo watu hutupia picha zao za zamani kwenye mtandao wa Instagram, Staa mrembo Wema Sepetu ametupia picha hiyo akiwa na mastaa warembo wenzake, Jackline Wolper na Irene Uwoya.
Wema aliweka picha hiyo na kuiandikia “TBT With My Girlzzz” kisha akawa tag Wolper na Uwoya.
Mbali na picha hii kuleta malumbano ambayo hayakuwa na tija, Swala la urafiki uliokuwepo zamani kati ya wadada hawa na jinsi walivyo hivi sasa ndio...