PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jariba La Vibe Tz
Jarida la maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz lililotoka hivi karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya amabe ni mrembo aliebarikiwa suru na umbo matata bila kusahau rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.
Japokuwa kuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.
Irene...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies07 Dec
PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jarida La Vibe Tz
Jarida la maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz lililotoka hivi karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya amabe ni mrembo aliebarikiwa suru na umbo matata bila kusahau rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.
Japokuwa kuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.
Irene...
10 years ago
Bongo Movies28 Jan
Picha:Kumbe Irene Uwoya ni Mdau wa “Vibanda Umiza”
Mrembo na muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya leo wamewashangaza mashabiki wake wengi kwa kuonekana maeneo ya uswazi akiandika bango la mechi za mpira wa miguu zitakazo onyeshwa leo kwenye moja ya kibanda umuzi uswahili hapo.
Wengi wamempongeza kwa kijichanganya maeneo kama hayo kwani mastaa wengi wa hapa bongo japokuwa wengi wametokea uswazi lakini huwa hawapendi kijichanganya baada ya kupata majina au kuhama mitaa ya uswazi.
Kwa upande wangu hii imekaa poa sana kwani huko ndiko...
10 years ago
Bongo Movies06 Apr
Picha: Mtoko wa Pasaka wa Irene Uwoya Huko Mwanza
Hizi ni baadhi ya picha ambazo staa mrembo Irene Uwoya ame-share nasi kupitia ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram akiwa jijini Mwanza ambako amekwenda kikazi zaidi.
Huu ndio ulikuwa mtoko wake wa sikukuu ya PASAKA hapo jana. Mbali ya picha hizi kusababisha mafuriko ya LIKES na COMMENTS huko Instagram, Sio mbaya nawewe hapa kama mdau ukasafisha macho na picha hizi na kufunguka chochote kuhusu mtoko huu wa mrembo huyu ambae anatajwa kama ni mmoja kati waigizaji wa rembo zaidi hapa...
9 years ago
Bongo Movies16 Dec
Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish Ndikumana…
Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE
10 years ago
Bongo Movies20 Jul
Picha: Irene Uwoya Akichukua Fomu, Viti Maalum Tabora
Haya kamanda UWOYA anaonekana akichukua fomu ya kuwania viti maalum vya ubunge huko tabora kwa tiketi ya CCM ,
twakutakia mafanikio mema katika safari yako ya kwenda kwa kuwatumikia wanamchi wa TABORA bungeni watanzania wanajua uwezo wako na wanakusubilia jumba jeupe tu pale pale wanapopalilia wengi kwenda
William Mtitu on Instagram