RIYAMA: Nimejikuta Nalia Kipindi Amina Anaigiza
Mwigizaji wa filamu za hapa Bongo, Riyama Ally “Rihama”amefunguka kwajinsi anvyomkubali mwigizaji chipukizi anaefahamika kwa jina la Amina.Akizungumza baada ya kukamilisha filamu mpya iitwayo DAMWANI ambayo Riyama na Amina wameshiriki, Riyama aliyasema haya mtandaoni baada ya kuweka picha yao wakiwa pamoja (hapo juu)
"Amina aka damwani -kiraka mimi ndio hupenda kumuita hivo, kiraka kwani ana uwezo wakumudu nafasi yoyote katika sanaa nimsanii mchanga namuombea kwa mungu ndoto zake ziwe...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
AUDIO ya mahojiano na Balozi Amina Salum Ali kwenye kipindi cha JUKWAA LANGU
![balozi Amina](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/balozi-Amina.jpg)
Mhe. Balozi Amina Salum Ali akifafanua jambo ndani ya Kilimanjaro Studio.
Kipindi hiki ambacho kinakujia kila JUMATATU, kinajadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Katika kipindi hiki utasikia mahojiano yetu na watu mbalimbali kuhusu DEMOKRASIA kuelekea uchaguzi nchini Tanzania
Katika kipindi cha wiki hii tumebahatika kuungana na Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Afrika nchini Marekani Mhe. Amina Salum Ali
Karibu
10 years ago
Bongo Movies02 Jun
Picha: Nimeamka Nimejikuta Nina Mabadiliko Mwilini-Nisha
Staa wa bongo Movies mwenye visa na vituko vyakufurahisha, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA amewaaacha hoi mashabiki wake baada yakutupia picha hii mtandaoni na kuandika “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko mwilini”.
Picha hii imekuwa ikisambaa kwa kasi zaidi mtandaoni huku kila mtu akiichombeza kwa maneno yake ukizingatia siku za hivi karibuni kuna baadhi ya mastaa wa kiume wa hapa Bongo wamekuwa wakipiga picha za namna hiyo na kuzua ‘stories’...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s72-c/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
TATHIMINI YA HALI YA UHALIFU MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA FEB- 2014 IKILINGANISHWA NA KIPINDI CHA MWEZI JAN- 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s1600/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3WKSjyltRAkvklhv2pdg*GlKDZbdKuVmBinTuOoyJR93N-52R3J7lkGwuLg520aQ8gSGMGlRJN96eDYrD3J6BQ8/RIYAMA.gif?width=650)
RIYAMA LAIVU!
9 years ago
Bongo Movies16 Aug
Nasaha za Riyama
Msanii nyota wa kike wa filamu , Riyama Ally ametaka wasanii wachanga kutoridhika na mafanikio madogo wanayoyapata pindi wanapofanikiwa ‘kutoka’ katika fani hiyo.
Akizungumza na NIPASHE, Riyama alisema wasanii wanatakiwa kutoridhika tu na pato la uigizaji, bali pia wajikite katika kutafuta uwezekano wa kuwa pia watayarishaji wa filamu. Riyama alikuwa akizungumza juu ya fialamu yake mpya ya ‘Sharo Doma’.
Chanzo:Nipashe
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Riyama Anaswa Laivu!
KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika.
Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa watafunga ndoa, kwani anampenda kwa dhati mpenziwe huyo, aliyesema ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, akifanya Hip Hop.
“Yeah,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdio-d2kTvwCl7IQ7hGkHwwpL2nRb0Kq*tE10a1k-X-csnxRR0NRQsHdZDKyl79sCx9-JWdmGxOO3e8wcMGBXxi5/frank1.jpg?width=650)
FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!