mambo yazidi kunoga stendi ndogo ya mabasi Ubungo jijini Dar
Wafanyabiashara ndogondogo (MACHINGA), wakiendelea kufanya biashara zao kama walivyokutwa na mpiga picha wetu kwenye kituo cha daladala ubungo na pembezoni mwa barabara jijini ya Morogoro jijini Dar es Salaam, hivyo kusababisha kero kwa watumiaji wa barabara hiyo,eneo hilo lilipigwa marufuku kwa shughuli za aina yoyote na Mansipaa ya Kinondoni lakini jamaa kama wamekaidi amri ile halali kabisa.Picha na Philemon Solomon,Globu ya Jamii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Mambo yazidi kunoga
Hadi kufikia wakati huu tayari nilikuwa nimejijenga sana kama ripota maalumu wa Sauti ya Amerika, VOA, katika kanda ya Afrika ya Mashariki na Kati.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hfHMA2pURk6yTWkjGbRm1GoJTvnltu4RmnFJmsTib5aWw9uBkZzZM3xUj9K0VLT4CtHrlMfPOUkMNgcHOSBTY0D/breakingnews.gif)
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba katika stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam kuna mgomo wa madereva waendeshayo mabasi yaendayo mikoani. Mgomo huo umeanza leo kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali. Taarifa zaidi pamoja na picha vitawajia hivi punde.
11 years ago
GPLMAMBO YAZIDI KUNOGA JANGWANI
Beki wa Yanga, Juma Abdul, akichuana na Mwinyi Ndimbo aliyenyuma yake. Jaja (kushoto) na Coutinho. Daktari Juma Sufian akimtibu Hamis Thabit baada ya kuumia kwenye mazoezi hayo.…
9 years ago
MichuziABILIA WAKIWA STENDI KUU YA MABASI YA KWENDA MIKOANI (UBUNGO)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LGCbvnp1GxU/XoJwv4v2nHI/AAAAAAAA-zA/OqZ0Ob67woEOdv8VfHOkQ_mPuF_iqrDKwCNcBGAsYHQ/s72-c/BN.jpg)
MAGARI YA WASHAWASHA, FIRE YATUMIKA KUNYUNYUZIA DAWA STENDI YA MABASI UBUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGCbvnp1GxU/XoJwv4v2nHI/AAAAAAAA-zA/OqZ0Ob67woEOdv8VfHOkQ_mPuF_iqrDKwCNcBGAsYHQ/s640/BN.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlKJozAQI-fn4mLm3cL95zKjx61zOQpZExPfGeBFCcYvnbVKiD89GUIUmvJuGwCfHsR84vFfCgBpPMUaY3j5*qc/3.jpg?width=650)
AJALI MBAYA KITUO CHA MABASI UBUNGO JIJINI DAR
Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam. Ajari mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajari imehusisha magari 6 likiwemo UDA mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.
11 years ago
MichuziNEWZZ ALERT:STENDI KUU YA MABASI MOSHI,WAMILIKI WA MABASI MADOGO WAGOMA KUTOA HUDUMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-herO9MoPhVN1JE52Oc7xfPRrDr2VCu0jxHgMO4gJy3nb1fW2Wo5u-MS2RnYMpvuIZeZ0LrEHiDtwIgev-56KgXS/MGOMO1.jpg?width=650)
TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA STAND YA MABASI UBUNGO, DAR
Muonekano wa mabasi ya mikoani yakiwa yamesimama stendi ya Ubungo, Dar. Wananchi wakiwa nje ya stendi ya mabasi ubungo jijini Dar. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP + 255 753 715…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4UUnqAej8P0UkqJjJxmMXCNS2t3irOmcX9RUHUtmXFtuQlCxTYdzT3GfW28vWTNmIGkYDClsx5x2bfNnpr*y9rx/1.MajajiwaTMTniRichRichMonalisanaRoySarungi.jpg?width=650)
TMT 2015 YAZIDI KUNOGA
Majaji wa TMT, Rich, Monalisa na Roy Sarungi. Kutoka kushoto ni Tomluck Stephan (Arusha) Vandeline August (Mbeya) Catherine Nicholaus (Dodoma) na Dennis Laswai…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania