Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maajabu: Mmarekani amezwa kwa hiari na nyoka Anaconda ili kufanya utafiti ndani ya tumbo lake

Mtaalamu mmoja wa wanyama pori nchini Marekani, Paul Roslie aliamua kufanya utafiti ndani ya tumbo la nyoka mkubwa aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. Nyoka aina ya Anaconda (picha:Google) Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza maumbulie ya ndani ya Nyoka huyo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Amezwa na Nyoka aina ya Anaconda

Watu nchini Marekani wameelezea ghadhabu kufuatia utafiti wa mtaalamu wa wanyamapori Paul Roslie kumezwa na Nyoka aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Nina miaka 20 ninatembelea tumbo kama nyoka

Waswahili husema, hujafa, hujaumbika! Ukweli wa usemi huu unapatikana katika maisha ya kijana mwenye umri wa miaka 20, ambaye ukimwona utadhani mtoto wa miaka minne.

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mpinzani huyu “nyoka ndani ya kibuyu”

JUMAMOSI iliyopita nikiwa Kampala, Uganda, nilimwambia rafiki yangu mmoja aliye waziri katika ser

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Bongo5

Nicki Minaj avunja rekodi ya VEVO na video ya ‘Anaconda’, views 19.6M ndani ya saa 24

Video mpya ya Nicki Minaj iliyozungumziwa zaidi wiki hii ‘Anaconda’, imeweka rekodi mpya ya VEVO na kuwa ndio video iliyopata hits nyingi zaidi ndani ya saa 24 toka ilipoachiwa. VEVO imethibitisha kuwa video ya ‘Anaconda’ imepata views milioni 19.6 ndani ya saa 24 toka ilipowekwa mtandaoni Jumanne (August 19. MY #ANACONDA DON'T WANT NONE UNLESS […]

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA NYOKA NI NYOKA TUUUUU LeBron James Jr.



Jitiririshe na video hii na utakubari usemi wa mtoto wa nyoka ni nyoka jinsi mtoto wa LeBron James jersey number 0 {LeBron James Jr} alivyo na kipaji kama baba yake. The apple never falls far from the tree.

 

10 years ago

Habarileo

Julio atamba kufanya maajabu

KOCHA Mkuu wa Mwadui ya Shinyanga, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, amesema timu yake itashangaza wengi kwenye Ligi Kuu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusie gossip: Aunty Ezekiel ‘Kimeeleweka’ aanika tumbo lake dakika za lala salama

11161351_835228589847347_4247360256634853261_nPicha ya aliyoitupia mapema leo asubuhi kupitia IG yake ya AuntyEzekiel  ambayo hadi sasa imeshapata LIKES nyingi pamoja na Comments huku watu wakimuombea.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda ulipata kusikia habari za Staa wa filamu za kibongo, ‘Bongo Movie’ Aunt Ezekiel    ambaye kwenye mtandao wake wa kijamii wa Intagram anatumia IG Auntyezekiel, mapema asubui ya leo Aprili 30, kupitia IG hiyo ametupia picha ya tumbo lake. (Tazama picha hapo juu).

Hata hivyo katika picha hiyo, Aunty...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani