Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutolala hupunguza uwezo wa kufikiri

JOHN ni mwanafunzi wa chuo, amebakiza muda mfupi kuhitimu shahada katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. Anatumia karibu muda wake wote kwa masomo kufanya mazoezi kwa vitendo na kufanya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mashine yenye uwezo wa kufikiri kitisho

Matumizi ya mashine yenye uwezo wa kufikiria kama binadamu yasababisha hofu kwa kizazi cha binadamu

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aspirin na Ibuprofen hupunguza saratani

Utumizi wa aspirin na Ibuprofen unapunguza hatari ya kushikwa na saratani ya utumbo mkubwa

 

11 years ago

GPL

UHAMIAJI WANATAKIWA KUFIKIRI ZAIDI

MWENYEZI Mungu, mwingi wa rehema ni wa kushukuriwa sana kwa kila jambo tunalolitenda hapa duniani. Kwa mara nyingine ameendelea kutenda miaujiza yake na leo hii tunakutana tena kwenye safu yetu maridhawa. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. Mwishoni mwa wiki iliyopita, yalitokea mambo mengi, yakiwemo uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, kitu ambacho sasa kimefungua rasmi shughuli za chombo hicho...

 

11 years ago

GPL

KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE

MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...

 

10 years ago

GPL

TYGA AANZA KUFIKIRI NDOA NA KYLIE

Mwanamuzuki wa miondoko ya kufoka, Tyga.
Los Angeles, Marekani
MSANII wa miondoko ya kufoka, Tyga, 25, amesema baada ya kuwa kwenye uhusiano wa muda mrefu na mpenzi wake ambaye ni mdogo wa mwanamitindo, Kim Kardashian, Kylie Jenner, 17, sasa wana mpango wa kuishi kama mke na mume. Tyga akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner. Chanzo cha karibu na mastaa hao kilisema Tyga ana mpango… ...

 

11 years ago

Habarileo

‘Simu, kompyuta hupunguza nguvu za kiume’

WATANZANIA wametakiwa kuwa makini wanapotumia simu na kompyuta, kwani ndio chanzo cha matatizo mbalimbali yakiwemo ya kutoona, kutosikia, upungufu wa nguvu za kiume na vifo.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO

Waziri wa Madini Dotto Biteko amelitaka shirika la maendeleo la taifa (NDC)kujipa muda wa kuvitambua vipaji na uwezo walionao waanzilishi mbalimbali wa viwanda na kuona wanawasaidiaje katika kukuza uwezo wao badala ya kukimbilia kuulizia vibali au leseni ya shughuli zao.

Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...

 

9 years ago

Mwananchi

DAWA LISHE: Ndizi hupunguza maumivu ya hedhi

Kuna matunda mengi yenye faida mwilini. Mojawapo ni ndizi mbivu ambazo wataalamu wa afya wanasema huweza kupunguza  tatizo la  wanawake kupata maumivu wakati wa hedhi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani