Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashine yenye uwezo wa kufikiri kitisho

Matumizi ya mashine yenye uwezo wa kufikiria kama binadamu yasababisha hofu kwa kizazi cha binadamu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU

Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Zanzibar yapokea mashine yenye uwezo wa kupima watu 288 kwa siku

Tanzania imekuwa ikikosolewa kwa kutokutoa takwimu za corona kwa wakati.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutolala hupunguza uwezo wa kufikiri

JOHN ni mwanafunzi wa chuo, amebakiza muda mfupi kuhitimu shahada katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. Anatumia karibu muda wake wote kwa masomo kufanya mazoezi kwa vitendo na kufanya...

 

11 years ago

Mwananchi

Mahindi yenye uwezo wa kumkuza mtoto kiakili

>Upo uhusiano mkubwa kati ya chakula atumiacho mtu kwenye enzi zake za utoto na ukuaji wake wa akili.

 

10 years ago

Michuzi

MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000


Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi  wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza yataka kukabili kitisho cha IS

Uingereza imetaka kuruhusiwa na bunge kushambulia maeneo ya wapiganaji wa Islamic State ili kudhibiti mashambulio yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

 

9 years ago

Michuzi

WAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.

Washiriki wa Semina ya wadau watakaoshiriki katika Utafiti wa Ujifunzaji wa Watoto (Wanafunzi) walio na Umri kati ya Miaka Saba hadi 16 katika Kusoma Kiswahili, Kiingereza na Kufanya Hesabu inayofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Tarime kuanzia leo Septemba 22,2015 hadi kesho Septemba 23, 2015 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Enock Waitara (Wa pili kushoto Waliokaa) ambae ni Afisa Elimu Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...

 

11 years ago

GPL

UHAMIAJI WANATAKIWA KUFIKIRI ZAIDI

MWENYEZI Mungu, mwingi wa rehema ni wa kushukuriwa sana kwa kila jambo tunalolitenda hapa duniani. Kwa mara nyingine ameendelea kutenda miaujiza yake na leo hii tunakutana tena kwenye safu yetu maridhawa. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. Mwishoni mwa wiki iliyopita, yalitokea mambo mengi, yakiwemo uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, kitu ambacho sasa kimefungua rasmi shughuli za chombo hicho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani