Mashine yenye uwezo wa kufikiri kitisho
Matumizi ya mashine yenye uwezo wa kufikiria kama binadamu yasababisha hofu kwa kizazi cha binadamu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU
Serikali imenunua mashine mpya ya CT-Scan yenye thamani ya takriban dola za Marekani milioni 1.7 yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...
5 years ago
BBCSwahili15 May
Virusi vya Corona: Zanzibar yapokea mashine yenye uwezo wa kupima watu 288 kwa siku
Tanzania imekuwa ikikosolewa kwa kutokutoa takwimu za corona kwa wakati.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Kutolala hupunguza uwezo wa kufikiri
JOHN ni mwanafunzi wa chuo, amebakiza muda mfupi kuhitimu shahada katika moja ya vyuo vikuu hapa nchini. Anatumia karibu muda wake wote kwa masomo kufanya mazoezi kwa vitendo na kufanya...
11 years ago
Mwananchi23 May
Mahindi yenye uwezo wa kumkuza mtoto kiakili
>Upo uhusiano mkubwa kati ya chakula atumiacho mtu kwenye enzi zake za utoto na ukuaji wake wa akili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s72-c/Salma-Kikwete.jpg)
MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000
![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s1600/Salma-Kikwete.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Uingereza yataka kukabili kitisho cha IS
Uingereza imetaka kuruhusiwa na bunge kushambulia maeneo ya wapiganaji wa Islamic State ili kudhibiti mashambulio yao
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Kitisho cha Usalama: Polisi auawa, Kenya
Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.
9 years ago
MichuziWAJENGEWA UWEZO ILI KUFANYA UTAFITI WA HALI YA KIELIMU WILAYANI TARIME KUPITIA MRADI WA UWEZO.
Na:Binagi Media GroupSemina hiyo imeratibiwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3DMWYVM5zonQWPpDyeuLHIKTvpzOjiLuWekWGQ7gvV2ldSw0H18JhplSymi24YTqaePC2HOfzMRzdreii0p-m2B/chikawe.jpg?width=650)
UHAMIAJI WANATAKIWA KUFIKIRI ZAIDI
MWENYEZI Mungu, mwingi wa rehema ni wa kushukuriwa sana kwa kila jambo tunalolitenda hapa duniani. Kwa mara nyingine ameendelea kutenda miaujiza yake na leo hii tunakutana tena kwenye safu yetu maridhawa. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe. Mwishoni mwa wiki iliyopita, yalitokea mambo mengi, yakiwemo uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, kitu ambacho sasa kimefungua rasmi shughuli za chombo hicho...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania