Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Cassper Nyovest aendelea kula bata Zanzibar na mpenzi wake Boity, aitosa show ya Maftown Heights

12224667_784132751713827_1656881668_n

Rapper anayezungumzwa zaidi nchini Afrika Kusini kwa sasa, Cassper Nyovest anaendelea kujipongeza na kufurahia mafanikio baada ya show yake ya #FillUpTheDome kwa vacation ndefu visiwani Zanzibar.

12224667_784132751713827_1656881668_n

Rapper huyo na mpenzi wake Boity, bado wameendelea kufurahia mandhari za kuvutia za bahari ya Hindi visiwani humo kwenye hoteli za kitalii.

11326158_1505815453049275_27835692_n

Kurasa zao za Instagram zinaonesha jinsi wanavyofurahia kwenye kisiwa hicho ikiwa ni pamoja na kula vyakula maarufu vya baharini.

11950517_1496713240624569_491807922_n

Katika hatua nyingine,...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Baada #FillUpTheDome: Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity watu Zanzibar kwa mapumziko

11909379_157693274584538_1539332956_n

Amevunja rekodi ya muziki wa Afrika Kusini kwa kujaza ukumbi unaochukua watu 20,000 jijini Johannesburg (October 31) na kupongezwa na Rais Jacob Zuma, amepata deal nono la ubalozi wa MTN, ana demu mkali, unadhani Cassper Nyovest anahitaji nini zaidi ya vacation au baecation kama anavyoiita yeye?

11909379_157693274584538_1539332956_n
Cassper Nyovest na mpenzi wake Boity

Na ni sehemu gani nyingine hapa Afrika yenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia zaidi ya Zanzibar? Upepo wa marashi ya pemba unaosambazwa na mawimbi ya kuvutia...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest, Boity, Bonang wanga’ra kwenye tuzo za mitandao ya kijamii za Channel24

Channel 24

Shirika la habari la Channel 24 la Afrika Kusini limetangaza washindi wa tuzo zake za online (Channel24 Online Awards).

Tuzo hizo zilikuwa na vipengele 10.

Baadhi ya washindi ni pamoja na Bonang Matheba aliyeshinda tuzo ya jumla ya uwepo kwenye mitandao ya kijamii.

Cassper Nyovest ameshinda Best YouTube video na Best Couple akiwa na Boity huku Roxy Burger amechukua tuzo ya Best Selfie.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

9 years ago

Bongo5

#Filledthedome: Mashabiki wa Cassper Nyovest wamkejeli AKA Instagram baada ya kupost picha ya show yake

Cassper n AKAUshindani baina ya rappers wa Afrika Kusini AKA na Cassper Nyovest sasa umehamia kwa mashabiki wao. Baada ya Cassper kuweka historia mpya Jumamosi iliyopita kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa The Dome peke yake wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 20,000 mashabiki wake wamemkejeli mpinzani wake AKA kwenye mitandao ya kijamii. […]

 

9 years ago

Bongo5

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini ampongeza Cassper Nyovest kwa kuweka historia, itazame show iliyomletea heshima hiyo (Video)

casper the domeKudhihirisha kuwa rekodi aliyoiweka Cassper Nyovest, Jumamosi ya Oct.31,2015 hakikuwa kitu kidogo, Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amempongeza rapper huyo kwa kuwa msanii wa kwanza wa Afrika Kusini kujaza ukumbi wa The Dome (sold-out show) ulioko jijini Johannesburg, wenye uwezo wa kuchukua watu 20,000, akiwa mwenyewe bila msaada wa msanii yeyote wa kimataifa. President […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Belle 9 aenda Ujerumani kula bata na warembo wa kizungu

Huenda wasanii wengi ambao hawapo kwenye orodha ya ziara za Fiesta na Kili Music Tour wapo kwenye stress kianina fulani. Hata hivyo msanii wa muziki anayetamba na wimbo ‘Wanitaka’ Belle 9 ambaye naye ni mmoja wao, ameamua kuzindoa (kama naye anazo) kwa kusafiri kidogo kwenda nchini Ujerumani kula bata na watoto wazuri, walau kusahau purukushani […]

 

10 years ago

Bongo5

Video/Picha: Davido na Wizkid wakutana uso kwa uso na kula bata pamoja

Hatimaye mastaa wa Nigeria Davido na Wizkid wamethibitisha hadharani kuwa sasa hali ni shwari kati yao, baada ya kukutana uso kwa uso na kuonesheana upendo kwa kukumbatiana huku kila mmoja akionesha kufurahia kukutana kwao. Wizkid na Davido wamekutana weekend iliyopita katika Escape night club huko Ilorin, Nigeria ambapo walikula bata pamoja katika club hiyo.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Cassper Nyovest — Phumakim

Family Tree proudly presents CASSPER NYOVEST’s highly anticipated PHUMAKIM music video. Shot in multiple locations across South African townships over two days with the help & support of Redds and most importantly Cassper’s friends & fans.

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest — No Worries

Cassper-Nyovest-Ashes2Ashes-428-To-SA-640x431South African record producer and A-List rapper ‘Cassper Nyovest‘ who is all set to fill up the dome to day (31.10.2015) has ‘No Worries‘ as he put out another material to whet the appetite of his fans in anticipation of the big one #FillUpTheDome. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Cassper Nyovest — Travel The World

Video mpya ya rapper kutoka South Africa Cassper Nyovest wimbo huu Produced by Uhuru unaitwa “Travel The World” Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani