Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKA KUCHA FUPI ZINA UTAMU WAKE

Naam kama ilivyo ada yetu, tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine foto kopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu, sifa yako kubwa kunywa pombe za watu na kuwakimbia, vipigo vimewapa mikovu kama kibaka mzoefu. Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia namba moja, nayajua uyajuayo na usiyojua kaa chini, mwari nikufunde, ulikimbia unyago hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana nikasema...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KUCHA FUPI HUKUNA KWA RAHA

NAAM kama ilivyo ada yetu, tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa yao kubwa kunywa pombe za watu na kuambulia kipigo mikovu kama kibaka mzoefu. Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia namba moja, najua ujuayo na usiyojua, kaa chini mwali nikufunde ulikimbia unyago hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana nikasema mtashindana lakini...

 

11 years ago

GPL

KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE

MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...

 

10 years ago

Mwananchi

Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake

Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha

 

10 years ago

Vijimambo

PAMOJA NA UTAMU WAKE, UKIMCHUNGUZA KUKU HUMLI!

Habari gani waungwana na wadau wa ukurasa huu. Nina uhakika mambo yenu yanakwenda vilevile mlivyopanga, maana maisha bwana ni vile mtu unavyopanga. Ukitaka kuwa msumbufu kwa waume za watu unaweza, ukitaka kuwa kiwembe kwa wake wa wenzio pia waweza, umeona bwana?

Juzikati nilipata simu moja ya kushangaza kidogo kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii. Yeye ni mdada, aliniambia ana tatizo kubwa ambalo hajui namna ya kulikabili, eti kila akimpata mwanaume baada ya muda mfupi anamtosa....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaka auawa na mdogo wake

MKAZI wa Kijiji cha Kapele, wilayani Momba, Adamu Silumbe (27), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi baada ya kuchomwa kisu mgongoni na mdogo wake. Kamanda...

 

9 years ago

Mtanzania

Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu

Davis MwamunyangeNa Victoria Patrick, Dar es Salaam

KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi  mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa   zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya  jamii kuwa amelishwa simu.

Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo,  Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.

“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

UTAMU NA CHUNGU YA PENZI NI 50%

Kama ilivyo ada wapenzi wasomaji wa safu hii karibuni kwa Jumanne nyingine katika kuelimishana na kujuzana kuhusu uhusianao na maisha.Kabla sijaanza mada ya wiki hii napenda kuwakumbusha mada ya wiki iliyopita kutamani au kuwa na mtu anayekufaa wakati wewe mwenye hujajitathmini kama unamfaa. Ni matumaini yangu wasomaji wangu mtakuwa mmejifunza mengi kuhusu mada iliyopita, leo nitazungumza nanyi kuhusu utamu na uchungu wa penzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani