utamu wa muwa.....
![](http://2.bp.blogspot.com/-xcWhJR7KcIY/VJFBZwpqZgI/AAAAAAAG3s4/NatpwCNY_RM/s72-c/0L7C4644.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKNdJ5OSePeB6itGKkjAJypbDAoTjbPi8ThA57-MxIDXjzI4ruIwMAKYDAeRzZi2QEE10oHHkbcbh4M06uHsm4WC/Lovee.jpg?width=650)
UTAMU NA CHUNGU YA PENZI NI 50%
Kama ilivyo ada wapenzi wasomaji wa safu hii karibuni kwa Jumanne nyingine katika kuelimishana na kujuzana kuhusu uhusianao na maisha.Kabla sijaanza mada ya wiki hii napenda kuwakumbusha mada ya wiki iliyopita kutamani au kuwa na mtu anayekufaa wakati wewe mwenye hujajitathmini kama unamfaa. Ni matumaini yangu wasomaji wangu mtakuwa mmejifunza mengi kuhusu mada iliyopita, leo nitazungumza nanyi kuhusu utamu na uchungu wa penzi...
9 years ago
BBCSwahili17 Sep
Mourinho: Nilisahau utamu wa ushindi
Jose Mourinho amesema alikuwa amesahau utamu wa ushindi baada ya kuanza vibaya kampeni ya kutetea ubingwa ligi ya Uingereza.
10 years ago
Tanzania Daima09 Dec
Utamu wa madaraka unazamisha nchi
MIAKA ya nyuma kulikuwa na kitabu kimoja cha hadithi chenye hadithi ya kusisimua ya “Muwa uliozamisha Meli” kilichoelezea Manaodha wa meli walionogewa na utamu wa muwa waliokuwa wanakula ndani ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJALE1kpr*KEagUetotCbErtc4BwdddZiI0b6btTpATlUOrAxQqb*pQB-06aMOqzKOo*tI65Aiit2IiYXsl1JgTa/COUPLES.jpg?width=650)
KULA GIZANI HUPUNGUZA UTAMU WAKE
MMH jamani ndiyo nini kuninunia kwa kusema ukweli? Siku zote dawa ya jipu ni kulitumbua kwani ukilionea huruma utamuongezea maumivu mgonjwa. Nataka kukwambia kitu kimoja kwamba chuki nichukie roho yangu niachie, wee sema wee na upige mayowe lakini ukweli utabaki palepale, kaniki haiwezi kubadilika rangi na kuwa nyeupe, ujumbe umefika au siyo? Natamani kucheka kwa jicho unalonikata na huku ukijisemea moyoni mwako kuwa siku...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-foAti5xFPrX8ULwVYFAve5AZk-ycfvV2*nw9QoQybbRflgweT5LQADmUAoYODvFop2RV5OEqZ8IOpLxfJcNyhN/xcouplehugging57435359.jpg.pagespeed.ic.nmphfXYcZ4.jpg?width=650)
UTAMU WA PENZI NI NIPE,NIKUPE SI VINGINEVYO!
JUMAMOSI nyingine tulivu kabisa mpenzi msomaji tunakutana tena kwenye uwanja wetu maridhawa kabisa kupeana elimu ya uhusiano. Mapenzi ‘yana-run’ dunia hivyo si vibaya kila siku tukaendelea kuyajadili na kupeana mbinu mbalimbali ambazo zinasaidia katika maisha yetu ya kila siku. Kwa tuliokuwa pamoja wiki iliyopita tulijifunza faida za kufufua penzi lililokufa. Wengi sana mlinitumia ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mmeguswa...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Mchezo wa Netiboli ‘unakufa’ na utamu wake
Maisha ya binadamu yana changamoto nyingi hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inashuhudia mabadiliko kila kukicha
10 years ago
Vijimambo15 Oct
PAMOJA NA UTAMU WAKE, UKIMCHUNGUZA KUKU HUMLI!
![](http://www.essence.com/sites/default/files/images/2011/07/07/couple-cuddling-in-bed-opt-400x295.jpg)
Juzikati nilipata simu moja ya kushangaza kidogo kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa safu hii. Yeye ni mdada, aliniambia ana tatizo kubwa ambalo hajui namna ya kulikabili, eti kila akimpata mwanaume baada ya muda mfupi anamtosa....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IDSxpu6BW21b93QXEBmZXchzsAiAp9HzpD3U-YlZMBztcXJUcVN1YkxiYr36pxA9Y5-5f2GvKCKmW0YsKu26slmfpMAH8ddF/Vanessa3.jpg)
KAKA KUCHA FUPI ZINA UTAMU WAKE
Naam kama ilivyo ada yetu, tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine foto kopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu, sifa yako kubwa kunywa pombe za watu na kuwakimbia, vipigo vimewapa mikovu kama kibaka mzoefu. Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia namba moja, nayajua uyajuayo na usiyojua kaa chini, mwari nikufunde, ulikimbia unyago hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana nikasema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSknG*qc9b*6SzjICtur1AHZ0mdQhum3pFh8jvCkXIozCqUrqiQPermg-PLvc3nibObtWJX7mHiF77PerBQTpDh9/julianadidone3.jpg)
SHOGA, MBU UNAMWEKEA NETI, UTAMU UNAENDA KAVU!
Jamani eeh! Hali ni mbaya hebu basi tujionee huruma wenyewe kwani kila anayelia siku zote hushika kichwa chake na hakuna anayepokewa matatizo. Jamani hebu basi tulijue hilo, kwa nini tuwe kama wanyama wasiojua zuri na baya?Inawezekana nimeanza kwa kasi kitu ambacho si kawaida yangu, lakini kwa hilo sihitaji kukujulia hali kwa vile mwenyewe hutaki kuijua hali yako. Jana kaja shostito wangu ambaye biashara zake huwa usiku, mchana...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania