Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sanders aomba msamaha kumdukua Hillary Clinton

Bernie Sanders amekiri na kuomba msamaha kwa Bi Hillary Clinton kwa kudukua taarifa za upigaji kura zilizoandaliwa na kampeini yake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Clinton amkosoa Sanders mdahalo wa urais

Hillary Clinton amemkosoa mpinzani wake mkuu Bernie Sanders kuhusu sheria za umiliki wa bunduki Marekani katika mdahalo wa wagombea urais chama cha Democrats.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bi Hillary Clinton awalaumu wapinzani

Anayedhaniwa kuwa mstari wa mbele katika uteuzi wa Urais katika chama cha Democratic, Hillary Clinton, amewalaumu wapinzani wake wa chama cha Republican kwa kutumia vifo vya wanadiplomasia nchini Libya kujinufaisha kisiasa.

 

9 years ago

CNN

Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?


CNN
Is Tanzania having a Hillary Clinton moment?
CNN
Reporting for this story was made possible by the International Women's Media Foundation's African Great Lakes Reporting Initiative. (CNN) Rehema Mayuya has caused quite the scandal. It started when she convinced her 56-year-old husband, Thabit Yusuf ...

 

9 years ago

GPL

BARUA PEPE ZA HILLARY CLINTON KUKAGULIWA

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton. New York, Marekani Maelfu ya kurasa za barua pepe (emails) binafsi za aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton zilizotumwa kwa anuani binafsi ya Waziri huyo, zimewekwa wazi hii leo na idara za Usalama nchini humo. Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imesema kuwa, kati ya barua pepe hizo, 150 kati yake ni zile zinazodaiwa kuwa na taarifa...

 

10 years ago

Habarileo

Bill, Hillary Clinton wapata mjukuu

CHELSEA Clinton wa Rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton na mkewe Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Hillary Clinton, amejifungua mtoto wa kike.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hillary Clinton atangaza kugombea urais

Mke wa rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, Bibi Clinton ametangaza azma ya kugombea urais nchini Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Hillary Clinton kuwania urais Marekani

Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Hillary Clinton atakuwa rais bora na mwenye maono kwa nchi ya Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani

Hillary Rodham Clinton akihutubia mkutano New York City March 10, 2015.
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.

Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.

Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani