Clinton amkosoa Sanders mdahalo wa urais
Hillary Clinton amemkosoa mpinzani wake mkuu Bernie Sanders kuhusu sheria za umiliki wa bunduki Marekani katika mdahalo wa wagombea urais chama cha Democrats.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Sanders aomba msamaha kumdukua Hillary Clinton
Bernie Sanders amekiri na kuomba msamaha kwa Bi Hillary Clinton kwa kudukua taarifa za upigaji kura zilizoandaliwa na kampeini yake
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/I0BgK6yBiww/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais
Mke wa rais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton, Bibi Clinton ametangaza azma ya kugombea urais nchini Marekani
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Hillary Clinton kuwania urais Marekani
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Hillary Clinton atakuwa rais bora na mwenye maono kwa nchi ya Marekani.
9 years ago
Habarileo17 Sep
CCM yataka mdahalo wa urais
SIKU moja baada ya vyama vinavyounda Ukawa kuomba kufanyika mdahalo utakaowajumuisha viongozi wa vyama, badala ya wagombea urais, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitokeza na kutaka ufanyike mdahalo utakaowajumuisha wagombea urais wote, bila yeyote kukimbia.
9 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
Wakati joto la uchaguzi likizidi kupanda nchini, wagombea wa urais wanatarajiwa kuchuana vikali kunadi sera zao kwa wananchi katika mdahalo utakaofanyika Oktoba 18 jijini hapa.
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Hillary Clinton atangaza kugombea urais Marekani
![](http://gdb.voanews.com/3DB961A2-D459-40BD-AB02-E9DCCEF668B9_w640_r1_s.jpg)
Hillary Clinton, mke wa rais wa zamani Bill Clinton, ametangaza kuwaanagombania urais wa Marekani mwaka 2016.
Kulingana na John Podesta, mshauri mwandamizi wa Bi Clinton waziri wa mambo ya nje katika awamu ya kwanza ya Rais Barack Obama, alitangaza nia yake kwa kutuma email Jumapili kwa wafadhili na watu waliomuunga mkono katika kampeni yake ya kwanza ya urais mwaka 2008.
Baadaye Clinton alitangaza rasmi ugombea wake katika...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania