CCM yataka mdahalo wa urais
SIKU moja baada ya vyama vinavyounda Ukawa kuomba kufanyika mdahalo utakaowajumuisha viongozi wa vyama, badala ya wagombea urais, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitokeza na kutaka ufanyike mdahalo utakaowajumuisha wagombea urais wote, bila yeyote kukimbia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM ULIVYOYEYUKA
9 years ago
Mwananchi18 Oct
CCM, Chadema ‘wakwepa’ mdahalo wa urais
10 years ago
Vijimambo09 Jun
MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM KUTOFIKA
![IMG-20150608-WA0032](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150608-WA0032.jpg?resize=469%2C350)
10 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM ULIVYOYEYUKA NA KUHUDHURIWA NA MGOMBEA MMOJA AMINA SALUM ALI
9 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Wagombea urais wachuana mdahalo wa Twaweza
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAGOMBEA urais wa vyama vya ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Lutasola Yemba, Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashimu Rungwe na Chama cha Tanzania Labor (TLP), Macmillan Lyimo wamechuana katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza.
Mdahalo huo uliofanyika Dar es Salaam jana uliwashirikisha wagombea hao huku mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha...
9 years ago
Habarileo17 Oct
Magufuli athibitisha ushiriki mdahalo wa urais
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amethibitisha kushiriki katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza, utakaofanyika kesho ambao utawakutanisha wagombea watano wa vyama vya upinzani.
10 years ago
Habarileo10 Jun
Wagombea urais wakacha mdahalo Dar
WAGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), juzi walikimbia mdahalo wa kupambana kwa hoja ulioandaliwa na wenyeviti wa sekta binafsi na kujulikana kama ‘CEO round table of Tanzania’.