Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIMBO MPYA HASARA ROHO- NEY LEE

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Wimbo Mpya | Kumbe Ni Ndugu - Real Jofu ft. Ney Lee


Singer Name:- Real Jofu ft Ney Lee
Song Name:- Kumbe Ni Ndugu
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Studio:-Mazuu Records

 

10 years ago

Bongo5

Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’

Mshindi wa Serengeti Super Nyota 2012 kutoka mkoani Mbeya, Neylee amesema wimbo wake mpya ujao ‘Hasara Roho’ unaelezea changamoto mbalimbali za maisha ya binadamu na jinsi ya kuachana nazo. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa katika maisha ya binadamu kuna vitu unaweza kukutana navyo na vikakuvunja moyo. “Hasara Roho ni wimbo ambao kwanza unajieleza katika hali […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego

MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

CloudsFM

'SUPA NYOTA' NEY LEE AREKODI VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA YA ’NIPE MUDA’ NCHINI ZAMBIA

Msanii zao la Supa Nyota 2012 Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.

 

10 years ago

Dewji Blog

Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego

Daynaaa

Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.

Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.

nyangeMsanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Ney Lee – Unalo

Ney-Lee-Unalo

Msanii wakike Mwanadada Ney Lee baada ya kimya amerudi na huu wimbo mpya unaitwa “Unalo”, Studio High Table Sounds.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Ney Lee kusambaza ‘Usiogope’

MWANADADA anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Ney Lee, anatarajia kusambaza kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Usiogope’. Ney Lee, ametamba katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani