WIMBO MPYA HASARA ROHO- NEY LEE
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Oct
10 years ago
Vijimambo14 Apr
Wimbo Mpya | Kumbe Ni Ndugu - Real Jofu ft. Ney Lee
Singer Name:- Real Jofu ft Ney Lee
Song Name:- Kumbe Ni Ndugu
Country;- Tanzania
Genre;- Bongo Flavour
Studio:-Mazuu Records
10 years ago
Bongo520 Oct
Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Ney Lee: Najivunia Ney wa Mitego
MWANADADA anayefanya vizuri katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Neema Agrey ‘Ney Lee’ anatarajia kuachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Usinikatae’. Akizungumza Dar es Salaam jana...
11 years ago
CloudsFM22 Jul
'SUPA NYOTA' NEY LEE AREKODI VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA YA ’NIPE MUDA’ NCHINI ZAMBIA
Msanii zao la Supa Nyota 2012 Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Dayna Nyange aachia wimbo mpya leo wa ‘Nitulize’ aliomshirikisha Ney wa Mitego
Msanii wa kike anayetamba na vibao mbalimbali vya muziki hapa Bongo ‘East African Queen’, Dayna Nyange leo Aprili 8, anaachia wimbo mpya wa ‘Nitulize’ ambao ameimba na staa wa Hip Hop nchini, Ney wa Mitego.
Awali wasanii hao Dayna Nyange na Ney walianza kama utani kwa kutupia picha mbali mbali wakiwa katika hali ya mahaba, lakini mwisho wa siku ilikuwa ni ‘promo’ ya wimbo wao huo ambao unaanza kuruka leo katika vituo mbalimbali vya radio.
Msanii Dayna Nyange ‘East African Queen’ katika...
9 years ago
Bongo521 Dec
Music: Ney Lee – Unalo
![Ney-Lee-Unalo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ney-Lee-Unalo-300x194.jpg)
Msanii wakike Mwanadada Ney Lee baada ya kimya amerudi na huu wimbo mpya unaitwa “Unalo”, Studio High Table Sounds.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Michuzi24 May
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Ney Lee kusambaza ‘Usiogope’
MWANADADA anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Ney Lee, anatarajia kusambaza kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Usiogope’. Ney Lee, ametamba katika...